mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,325
- 44,921
Hayo mabucha ya wanyama pori kila siku story hizo hizo.
Nilimsikia raisi akisema wamepunguza bei ya wanyama pori mfano swala 70000, nyati laki Saba n.k. na akawa anawasisitiza watu wanunue wafuge ili baadae kuwepo hata na bucha za wanyama pori,ndio maana naendelea kuwasubilia wajuvi watujuze.