Samson Ngomboli
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 1,428
- 2,241
Nawasalimu wanaJF wote,
Najua JF ina watu wa kila taasisi na idara. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujuzwa utaratibu wa kupata mbegu za wanyama kama swala na digidigi maana siku za karibuni Rais amesikika akisisitiza uwepo wa mapunguzo ya bei ya wanyama pori kwa ajili ya kuwafuga mathalani swala kutoka dollar 150 mpaka elfu sabini n.k.
Hivyo mwenye kujua chochote atujuze tafadhari ili tuchangamkie fursa za kufuga.
Nawasilisha.
Najua JF ina watu wa kila taasisi na idara. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujuzwa utaratibu wa kupata mbegu za wanyama kama swala na digidigi maana siku za karibuni Rais amesikika akisisitiza uwepo wa mapunguzo ya bei ya wanyama pori kwa ajili ya kuwafuga mathalani swala kutoka dollar 150 mpaka elfu sabini n.k.
Hivyo mwenye kujua chochote atujuze tafadhari ili tuchangamkie fursa za kufuga.
Nawasilisha.