spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 6,023
- 15,545
Wakuu naomba msaada wa unlocking codes za iz nokia nilinunua kwa ajili ya mawasiliano zaid nkaweka laini zangu baada ya muda nkahamisha kuweka kwenye simu kubwa kuanzia hapo nkiweka simcard tofaut na zile inakataa.
Msaada wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app