Unataka kuzifata jikoni mzee wanguAmani ya Bwana iwe nanyi
Naomba kuuliza,hivi haya makampuni ya SBL,TBL,TCC KONYAGI na mengineyo huwa wanaapply vipi kazi hata kama hawajatanga nafasi? yeyote mwenye insight please.
Hizo kampuni kazi zao huwa zinatangazwa kimya kimya kwa staili ya internal vacancies.Amani ya Bwana iwe nanyi
Naomba kuuliza, hivi haya makampuni ya SBL, TBL, TCC KONYAGI na mengineyo huwa wanaapply vipi kazi hata kama hawajatangaza nafasi? yeyote mwenye insight please.
Kwa TBL ni ngumu sana kupata kama hauna mtu anaefanya kazi pale mara nyingi kunakuaga na wale volunteer na vibarua Kwahiyo linapotoka tangazo huwachukua hao mara nyingi kuna miaka fulani nilikua pale nikajionea huo mchakatoAmani ya Bwana iwe nanyi
Naomba kuuliza, hivi haya makampuni ya SBL, TBL, TCC KONYAGI na mengineyo huwa wanaapply vipi kazi hata kama hawajatangaza nafasi? yeyote mwenye insight please.