Bado hata sijaihold mkuu nilikuwa naomba kujuzwa tu .Kama una idea naomba unielekezeKama ulivyoandika hapo ndio una hold diploma basi kazi tunayo kubwa sana kufika serikali ya vi-wonda
Sent using Jamii Forums mobile app
Electrical Engineering ngazi ya Diploma ina maana ni Technician. Mshahara sio mbaya (kuna salary scales/madaraja ya mishahara) na inatagemea pia na experience katika kazi. Pia inategemea pia kama utakuwa Supervisor au Technician tu.Samahani wakuu, nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu mishahara ya Electrical engineers wenye kiwango cha elimu diploma TANESCO pamoja na majukumu yao.
Safi sana mkuu. ubarikiweElectrical Engineering ngazi ya Diploma ina maana ni Technician. Mshahara sio mbaya na unatagemea pia na experience katika kazi. Pia inategemea pia kama utakuwa Supervisor au Technician tu.
Majukumu yapo mengi ila inategemea kwanza unaajiriwa wapi. Labda ni Generation, Transmission au Distribution...
Asante sana bro your too kind .....ubarikiwe nimekuelewaElectrical Engineering ngazi ya Diploma ina maana ni Technician. Mshahara sio mbaya na unatagemea pia na experience katika kazi. Pia inategemea pia kama utakuwa Supervisor au Technician tu.
Majukumu yapo mengi ila inategemea kwanza unaajiriwa wapi. Labda ni Generation, Transmission au Distribution...
Umemuelezea Vizuri sana Mkuu C0999 jokesElectrical Engineering ngazi ya Diploma ina maana ni Technician. Mshahara sio mbaya na unatagemea pia na experience katika kazi. Pia inategemea pia kama utakuwa Supervisor au Technician tu.
Majukumu yapo mengi ila inategemea kwanza unaajiriwa wapi. Labda ni Generation, Transmission au Distribution.
Kote huko pia kuna idara pia mfano Distribution kuna idara kama Emergency, Construction, Maintenance, Planning n.k. Kote majukumu ni tofauti lakini since umeajiriwa na shirika tegemea kutupwa idara yoyote wakati wowote.
Uzuri ni kuwa wakitangaza nafasi za kazi huwa wanakuwa specific kama ni ya Transmission, Distribution au Generation hivyo unaweza kuwa umepata picha mapema. I hope umepata kamwanga.
Nahisi kwenye laki nane iviSamahani wakuu, nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu mishahara ya Electrical engineers wenye kiwango cha elimu diploma TANESCO pamoja na majukumu yao.
umeokoa wengi mkuuElectrical Engineering ngazi ya Diploma ina maana ni Technician. Mshahara sio mbaya na unatagemea pia na experience katika kazi. Pia inategemea pia kama utakuwa Supervisor au Technician tu.
Majukumu yapo mengi ila inategemea kwanza unaajiriwa wapi. Labda ni Generation, Transmission au Distribution.
Kote huko pia kuna idara pia mfano Distribution kuna idara kama Emergency, Construction, Maintenance, Planning n.k. Kote majukumu ni tofauti lakini since umeajiriwa na shirika tegemea kutupwa idara yoyote wakati wowote.
Uzuri ni kuwa wakitangaza nafasi za kazi huwa wanakuwa specific kama ni ya Transmission, Distribution au Generation hivyo unaweza kuwa umepata picha mapema. I hope umepata kamwanga.
Asante sana mkuuNahisi kwenye laki nane ivi
Daaah .....ASANTE MKUUDegree ya science laki9 ,diploma ya science laki7, degree ya social science laki7 haya kajenge taifa.
Asante sana bro your too kind .....ubarikiwe nimekuelewa
Nashukuru mkuuNi milioni moja na point kama utakuwa kwenye generation( plants) kama vile kihansi, kidatu, mtera , nyumba ya mungu, hare n.k
Soma vizuri sijauliza kuhusu electronic afu Kama hujui ni bora ukausheMleta mada ungesema fundi mchundo mwenye diploma analipwa kiasi gani Tanesco? Unaijua Electonic Engineering? Ipe heshima yake.
Hili ndio jibu sahihi.1050000
Technician haitwi Fundi MchundoMleta mada ungesema fundi mchundo mwenye diploma analipwa kiasi gani Tanesco? Unaijua Electonic Engineering? Ipe heshima yake.