Umemaliza,kazi kwake kuwatafuta humu maana wanao uzi
Huyo ni mwanamkeKuna mwanamke uko Arumeru alitoa uhai wa mwanaume kwa ajili ya kutotoa shilingi 1,000 ya umeme!
Wanarudia movie mpaka unaikaririDstv wapuuzi kweli.
King'amuzi chao ukitaka uinjoi labda ulipie kuanzia Compact. Gharama kubwa.
Pili wanarusha movie za miaka iliyopita,na wanazirudia hizo hizo mara kwa mara. Kuna ile ya kihindi wanarusha movie za miaka ya 80 huko.
Ni kutafuta mbadala tu.
Wale walikua na UGOMVI wao shida Njia ilikua imeziba, ikafungukia siku ya Bill ya umeme 😂Kuna mwanamke uko Arumeru alitoa uhai wa mwanaume kwa ajili ya kutotoa shilingi 1,000 ya umeme!
Tatizo cable hazina consistency Leo unaona kesho huoniHapo mtaani kwako hakuna cable tv za wahindi? Kama zipo basi ndio mbadala wa DStv, vuta cable ufurahie maisha kwa elfu 15 tu kwa mwezi.
Hiki ndio kinaendelea south Africa wateja wa premium package wamepungua hasara imekuwa kubwaDawa ni kuachana NAO sasa! Movie ya 19 kweusi ndo wanarudia kila leo.
Zaidi ya Soccer, hamna jingine! Sasa kulipia hivyo vifurushi wa soccer tuwaachie wenye Bar na kumbi za kuonesha mpira, sisi tukajazane huko kwa buku tu!
Hahaa... Mkuu mi pia nimepigiwA cm..Habari za muda huu wakuu,
Naomba msaada wenu, nahitaji kuacha kitumia king'amuzi cha DStv kwa sababu ya kupandisha gharama zao kila siku, yaani hawatabiriki.
Naamini wengi tupo kwenye hii kadhia kwa sasa. Penye wengi pana mengi, karibuni tusaidiane alternatives.
Nimekuripoti mkuu.Sasa kupanda kwa buku ndo mwanaume unakuja lia lia hapa,
Chukua azam mkuuMm nilikuwa na mpango wa kuwapiga chini ila shida ni watoto wangu wameizoea sana, kuna cartoon nyingi ambazo wanazipenda sidhani kama huko kwingine watazipata. Hawa jamaa kwenye compact walikuwa 44k wakaja 49k wakenda 56k sasa wameingia 60k ndani kama ya miaka miwili hivi. Ukiangalia hili ongezeo ni kubwa kwa huu muda mfupi basi tu tunachulia poa, alafu bado wanakunyima Uefa Champions League
Download akili akili mkuu wawe wanaangalia hizo hayo pj mask sofia nk achana nao mie silipii tenaMm nilikuwa na mpango wa kuwapiga chini ila shida ni watoto wangu wameizoea sana, kuna cartoon nyingi ambazo wanazipenda sidhani kama huko kwingine watazipata. Hawa jamaa kwenye compact walikuwa 44k wakaja 49k wakenda 56k sasa wameingia 60k ndani kama ya miaka miwili hivi. Ukiangalia hili ongezeo ni kubwa kwa huu muda mfupi basi tu tunachulia poa, alafu bado wanakunyima Uefa Champions League
Hakuna mbadala wa DStv ila DStv ndio mbadala wa kila aina nyingine za visimbuzi.