dee official
Member
- Oct 15, 2019
- 8
- 3
Habari za muda huu wadau
Samahani naomba kuuliza kwa mwenye uzoefu na maswala ya transfer ya mkopo je huchukua muda gani mpaka kukamilika na mnufaika kupatiwa pesa alizopangiwa kwa mwaka husika?
Mimi nimefanikiwa kupata asilimia kidogo sana ya mkopo katika batch number two ila kutokana na matatizo nilishindwa kwenda kusoma chuo nilichochaguliwa nikabaki chuo ambacho kipo mazingira ya nyumban ili kusudi kubana matumizi yaani pesa nitakayoipata kwenye boom niitumie kulipa ada maana nilipewa meals and accommodation pamoja na books and stationery tu.
Hivyo naomba kwa anae fahamu anisaidie kunijuza ili nianze kujipanga kukopa ada ya semester ijayo mapema ikiwa Hela ya matumizi (meals and accommodation) ambayo nilitegemea kuitumia kulipia ada itachelewa Asante.
Samahani naomba kuuliza kwa mwenye uzoefu na maswala ya transfer ya mkopo je huchukua muda gani mpaka kukamilika na mnufaika kupatiwa pesa alizopangiwa kwa mwaka husika?
Mimi nimefanikiwa kupata asilimia kidogo sana ya mkopo katika batch number two ila kutokana na matatizo nilishindwa kwenda kusoma chuo nilichochaguliwa nikabaki chuo ambacho kipo mazingira ya nyumban ili kusudi kubana matumizi yaani pesa nitakayoipata kwenye boom niitumie kulipa ada maana nilipewa meals and accommodation pamoja na books and stationery tu.
Hivyo naomba kwa anae fahamu anisaidie kunijuza ili nianze kujipanga kukopa ada ya semester ijayo mapema ikiwa Hela ya matumizi (meals and accommodation) ambayo nilitegemea kuitumia kulipia ada itachelewa Asante.