Kilimo cha mahindi Rukwa na Katavi

amate

Senior Member
Feb 23, 2017
157
377
Habari zenu wana-JF,

Kama heading invyosema. Tanzania kwasasa tunaongoza East Africa (EAC) kwa kilimo cha mahindi. Nakumbuka kipindi cha nyuma miaka ya 2010 kurudi nyuma Tanzania haikuwa na uwezo wa kujilisha yenyewe kwa chakula cha ndani, tulitegemea ku-import chakula kutoka nje kama vile mahindi, mchele, maharagwe, etc. Kuanzia miaka ya 2014 mpaka sasa Tanzania inafanya vizuri sana kwa kilimo cha mahindi na mpunga.

Mikoa miwili (2), RUKWA na KATAVI ndo mikoa inayozalisha 40% ya mahindi yanayolimwa Tanzania bara. Kwann nasema hivyo, research yangu fupi tu ya mwaka jana na mwaka huu, nimegundua kuwa Rukwa (Sumbawanga), wanasafirisha Semi-trailer za kutosha za mahindi kuvuka mipaka ya Mtukula, Namanga na Sirali. Huku mkoa wa Katavi (Mpanda), pia ukichangia sehem kubwa sana kwenye usafirishaji huo.

Pia, Katavi katika wilaya za Mpimbwe na Tanganyika wanalima mpunga mwingi sana. Japo mkoa wa Katavi sehem kubwa ni hifadhi lakni sehem ndogo wanapoishi watu mkoa unafanya vizuri sana kwa kilimo cha mazao mbalimbali kama vile karanga, ulezi, mahindi, maharagwe, mpunga, viazi vitamu.

Kwa kifupi, hii mikoa miwili ndo inazalisha 40% ya chakula chote hapa Tanzania bara.
 
Rukwa na Katavi wanazalisha mahindi mengi ila si kwa 40%.

Mahindi mengi yanazalishwa Ruvuma na Iringa.

Kwingine ni mkoa wa Simiyu.

Manyara hasa wilaya ya Kiteto.

Kwa Rukwa na Katavi hawazidi 20% ya uzalishaji wa mahindi.

Kumbuka mkoa wa Songwe unazalisha mahindi pia.

Rudia utafiti . Usiangalie magari tu yanayosafirisha tu. Mengine utakuta yametokea kwingine yakapita tu hapo.

Hata hivyo uko vizuri
 
Rukwa na Katavi wanazalisha mahindi mengi ila si kwa 40%.

Mahindi mengi yanazalishwa Ruvuma na Iringa.

Kwingine ni mkoa wa Simiyu.

Manyara hasa wilaya ya Kiteto.

Kwa Rukwa na Katavi hawazidi 20% ya uzalishaji wa mahindi.

Kumbuka mkoa wa Songwe unazalisha mahindi pia.

Rudia utafiti . Usiangalie magari tu yanayosafirisha tu. Mengine utakuta yametokea kwingine yakapita tu hapo.

Hata hivyo uko vizuri
Asante mkuu.
 
Kwa sasa kilo 500 debe 10000 katavi

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hbr mkuu upo Katavi maeneo gani?
Nahitaji Shamba maeneo. Halimashauri ya Wilaya Mlela.
Shamba ekari 120-250. Eneo liwe linatumia .mbolea ya kuuzia tu. Piya shamba liwe linaweza kulimwa na Trecta, Naomba tuwssiliane Kwa maelezo zaidi, natoa Hela ya udalali mkuu
 
Hbr mkuu upo Katavi maeneo gani?
Nahitaji Shamba maeneo. Halimashauri ya Wilaya Mlela.
Shamba ekari 120-250. Eneo liwe linatumia .mbolea ya kuuzia tu. Piya shamba liwe linaweza kulimwa na Trecta, Naomba tuwssiliane Kwa maelezo zaidi, natoa Hela ya udalali mkuu
Nipo halmashauri ya mpimbwe kama utahitaji nitajaribu kukuulizia kwa watu

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mashamba yapo sema huwez kupata shamba zuri ukiwa mbali. Kwa ushauri wangu nenda eneo hilo kaonane na wenyeji direct utapata ABC za huko...
nashukuru sana mkuu ni ushauri sound sana, nitafanya hivyo. Na bei zake zikoje kwa eka sasa huku?
 
Back
Top Bottom