Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,929
- 3,171
Sio kweliKupata huko hasa NCRA lazima uwe na Godfather tena mkubwa kwelikweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweliKupata huko hasa NCRA lazima uwe na Godfather tena mkubwa kwelikweli
Hivi mkuu na hii TAN 01 ndio shilingi ngapi kwa huko tanapa?
Kwasasaivi ajira zao zinapitia tume ya ajira utumishi,mambo ya mlango wa nyuma hakuna sasaivi,atakayefauru usaili ndie atakayepata......tangu awamu hii ilivyoingia madarakani wale vipanga wengi ambao ni watoto wa kimaskini wamepata kwenye mashirika makubwa zaidi ya tanapaYes hao jamaa, wabinafsi saaaaana, hapo hakuna bahati ni kushikana mkono unaingia
Jpm apongezweKwasasaivi ajira zao zinapitia tume ya ajira utumishi,mambo ya mlango wa nyuma hakuna sasaivi,atakayefauru usaili ndie atakayepata......tangu awamu hii ilivyoingia madarakani wale vipanga wengi ambao ni watoto wa kimaskini wamepata kwenye mashirika makubwa zaidi ya tanapa
MkuuKwasasaivi ajira zao zinapitia tume ya ajira utumishi,mambo ya mlango wa nyuma hakuna sasaivi,atakayefauru usaili ndie atakayepata......tangu awamu hii ilivyoingia madarakani wale vipanga wengi ambao ni watoto wa kimaskini wamepata kwenye mashirika makubwa zaidi ya tanapa
Hahaha watu wanahisi hamna kuwekana?Mkuu
Mambo ya kujuana bado yapo. Nilifanya both written and oral interview na jamaa mmoja ana dada ake hapo TANAPA HQ. Jamaa alikua shortlisted kwenye two different posts.
Alifaulu zote na zote akaitwa kazini. Alichofanya ni kuchagua post ipi anaitaka. Na amepangiwa Park nzuri kabisa karibu na nyumbani. Hebu connect dots hapo halafu niambie.
KweliMkuu
Mambo ya kujuana bado yapo. Nilifanya both written and oral interview na jamaa mmoja ana dada ake hapo TANAPA HQ. Jamaa alikua shortlisted kwenye two different posts.
Alifaulu zote na zote akaitwa kazini. Alichofanya ni kuchagua post ipi anaitaka. Na amepangiwa Park nzuri kabisa karibu na nyumbani. Hebu connect dots hapo halafu niambie.
Kuna nn mkuuNext week Katavi!
Kwasasaivi ajira zao zinapitia tume ya ajira utumishi,mambo ya mlango wa nyuma hakuna sasaivi,atakayefauru usaili ndie atakayepata......tangu awamu hii ilivyoingia madarakani wale vipanga wengi ambao ni watoto wa kimaskini wamepata kwenye mashirika makubwa zaidi ya tanapa
Kubebana bado kupo ?Hizo ni mvwembwe tu,mambo ni yaleyale tu.
Ni sawa na kuhamisha hela mfuko wa kulia na kuhamishia wa kushoto
kubebana bado kupo na hakutaisha.Kubebana bado kupo ?
Sawa mkuukubebana bado kupo na hakutaisha.
Kitakachokusaidia ni imani yako tu na Mungu wako na kutokata tamaa.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Hahahahnikikumbuka Tanapa sina hamu nao kwenye pratical code hazirun sijui zile computer walifanya nini!
jamaa mmoja akawa anaomba amebadilishe position kila saa
😂😂😂😂 Kama nakuona mkuuHahahaha nakumbuka wakati nipo chuoni tulikuwa tunajadili Mambo ya mishahara ,tukaweka na malengo kabisa ila laaa baada ya kuingia ni hatari
Wewe acha tu mkuu,hadi hurumaKama nakuona mkuu