Naomba kufahami haya mtu anapokuwa kwenye Baraza la ardhi la Kata.
i] Kuna idadi maalum ya maswali ya kumuuliza shahidi anapomaliza kutoka ushahidi?
ii] Iwapo mdai/mdaiwa/shahidi anapotoa maelezo, naruhusiwa kuchukua kumbukumbu kwa kuandika ili niweze kuuliza swali/maswali?
i] Kuna idadi maalum ya maswali ya kumuuliza shahidi anapomaliza kutoka ushahidi?
ii] Iwapo mdai/mdaiwa/shahidi anapotoa maelezo, naruhusiwa kuchukua kumbukumbu kwa kuandika ili niweze kuuliza swali/maswali?