Ukaguzi tiketi ndani ya basi mkiwa safarini ni usumbufu kwa abiria

Twin Tower

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
2,133
2,986
Nimekumbuka siku moja nasafiri Arusha to Dom, wengine siku za kuamkia safari kulala ni ukiwa safarini hasa kipindi hiki magari yanaanza safar saa 9 usiku.

Nipo zangu usingizini, mtu ananipigapiga bega eti anaomba tiketi, aisee alijuta kwa kitendo chake hicho akaomba radhi tukayamaliza.

Kuna baadhi ya kampuni gari ikishaondoka stand hakuna ukaguzi wa hizo tiket, maana chart wanayo inaonesha seat zote zimeuzwa na abiria wote wamekaa katika seat. Ya nin kuanza kukagua tiket ama kuulizana kituo cha kushuka, wakati nakata tiketi nakupa taarifa zote.

Kwa upande wako unachukuliaje hiyo hali? Hata kama mali bila daftari, bado ni ushamba tu
 
Nimekumbuka siku moja nasafiri Arusha to Dom, wengine siku za kuamkia safari kulala ni ukiwa safarin hasa kipindi hiki magari yanaanza safar saa 9 usiku.

Nipo zangu usingizini, mtu ananipigapiga bega eti abaomba tiketi, aisee alijuta kwa kitendo chake hicho akaomba radhi tukayamaliza.

Kuna baadhi ya kampuni gari ikishaondoka stand hakuna ukaguzi wa hizo tiket, maana chart wanayo inaonesha seat zote zimeuzwa na abiria wote wamekaa katika seat. Ya nin kuanza kukagua tiket ama kuulizana kituo cha kushuka, wakati nakata tiketi nakupa taarifa zote.

Kwa upande wako unachukuliaje hiyo hali? Hata kama mali bila daftari, bado ni ushamba tu
Naunga mkonyo hoja,
kuna wanao kagua hadi mara3,
basi lenyewe bovu lina jotroo hatari, ni kero sana aise
 
Wahudumu/makondakta waache mazoea ya kabla ya uhuru wa Tanganyika. Waangalie mlolongo wa abiria na vituo wanavyotarajia kushuka au kupanda. Kazi hiyo waifanye muda mwingi kabla ya safari, akae na orodha na kuifuatilia ili imuongoze. Siyo kusumbua abiria kizamani. Anashindwaje kuweka kichwani mfuatano wa abiria 50 tu?
Nitawaelewa kwa mabasi ya kwenda/kutoka vijijini ambayo mengi yao abiria huwa hawakatiwi tiketi(wengi wao)ukijumlisha na wale wanaopandia njiani na kujaza basi hadi hakuna kwa kukanyaga.
 
Nimekumbuka siku moja nasafiri Arusha to Dom, wengine siku za kuamkia safari kulala ni ukiwa safarin hasa kipindi hiki magari yanaanza safar saa 9 usiku.

Nipo zangu usingizini, mtu ananipigapiga bega eti abaomba tiketi, aisee alijuta kwa kitendo chake hicho akaomba radhi tukayamaliza.

Kuna baadhi ya kampuni gari ikishaondoka stand hakuna ukaguzi wa hizo tiket, maana chart wanayo inaonesha seat zote zimeuzwa na abiria wote wamekaa katika seat. Ya nin kuanza kukagua tiket ama kuulizana kituo cha kushuka, wakati nakata tiketi nakupa taarifa zote.

Kwa upande wako unachukuliaje hiyo hali? Hata kama mali bila daftari, bado ni ushamba tu
Aise inakera sana kuamshwa. Shabiby Line ndio peke yake hawana ujinga huo wa kukagua. Yaani wale ukinunua ticket we hata itupe tu kikubwa kumbuka sit number yako hawanaga ukaguzi wowote
 
Nimekumbuka siku moja nasafiri Arusha to Dom, wengine siku za kuamkia safari kulala ni ukiwa safarin hasa kipindi hiki magari yanaanza safar saa 9 usiku.

Nipo zangu usingizini, mtu ananipigapiga bega eti abaomba tiketi, aisee alijuta kwa kitendo chake hicho akaomba radhi tukayamaliza.

Kuna baadhi ya kampuni gari ikishaondoka stand hakuna ukaguzi wa hizo tiket, maana chart wanayo inaonesha seat zote zimeuzwa na abiria wote wamekaa katika seat. Ya nin kuanza kukagua tiket ama kuulizana kituo cha kushuka, wakati nakata tiketi nakupa taarifa zote.

Kwa upande wako unachukuliaje hiyo hali? Hata kama mali bila daftari, bado ni ushamba tu
Mkuu pole, tunaamini katika shuhuda kuliko mifumo.
 
Back
Top Bottom