Naomba kujuzwa changamoto za gari ya Toyota Alphard na aina zake

kwa hapo angalia moyo wako unapenda nn, kuhusiana na mafuta eti kisa ununue ist au raum utajitesa crown athlete inatembea km 7-10km/l mjini ist mjini km10/l kwahyo inapishana kidogo tu. Na kuogopa kumiliki gari zuri kisa mafuta huo ni ujinga kwa maana hakuna gari isiyo kula mafuta kikubwa uwe na nidham kwenye uendeshaji kwa maana hata hyo ist au raum ukiwa una driving skills mbovu itakupa km 8/l. Kikubwa tunza gari na sio kila mahari kwasabab ww una gari bas unaenda nalo.
Ushauri bora kabisaa huu
 
kwa hapo angalia moyo wako unapenda nn, kuhusiana na mafuta eti kisa ununue ist au raum utajitesa crown athlete inatembea km 7-10km/l mjini ist mjini km10/l kwahyo inapishana kidogo tu. Na kuogopa kumiliki gari zuri kisa mafuta huo ni ujinga kwa maana hakuna gari isiyo kula mafuta kikubwa uwe na nidham kwenye uendeshaji kwa maana hata hyo ist au raum ukiwa una driving skills mbovu itakupa km 8/l. Kikubwa tunza gari na sio kila mahari kwasabab ww una gari bas unaenda nalo.
Driving skills zinazofanya mafuta yasiende sana ni zipi hizo?
 
Kwa siku una utembezi wa kilometa ngapi? Kama kilometa nyingi izo chuma zinabwia sana wese. Jiandae kwa 7km/L.
Kwa kipato cha kawaida hapo sio kabisa then Mtu naishi Tegeta kwenda Kariakoo. Ye":
Namba 3 na 4 vinapishana.

Kuna mtu alitaka kununua gari. Tukamshauri IST. Akauliza inaweza kufika kwetu Mwanza (anakaa Dar)?

Nikamuuliza, kwa mwaka unaenda kwenu Mwanza mara ngapi? Unakuta ni mara moja au asiende kabisa.

Kwanini ununue gari kisa kwenda nalo kwenu mara moja tu? Let say siku 10 hafu the rest siku 355 za mwaka zinakuumiza kwasababu sio matumizi ya iyo gari.

My point, Alphard utaitumia Jumatatu to Ijumaa kwenda nayo kazini hafu weekend ndio unatoka na familia (kanisani, masjid au out). Ila sio matumizi makuu.

Alphard ni gari kubwa sana, yaani boat. Na usitegemee matumizi ya mafuta yakawa mazuri. Sasa kwa matumizi yako sidhani kama ni gari sahihi.

Ila nashauri ungeanza na gari dogo (mfano Corolla family) au Wish, nayo ni kubwa.

Pendekezo kubwa kabisa ningeshauri ununue Toyota Raum.
We jamaa Mad Max una busara sana na umenifundisha kitu Muhimu sana. unanunua Gari ya Mkoani amnayo unaenda huko Mara moja kwa Mwaka au hakuna kabisa a inakukost Mwaka mzima hue endendesha
 
kwa hapo angalia moyo wako unapenda nn, kuhusiana na mafuta eti kisa ununue ist au raum utajitesa crown athlete inatembea km 7-10km/l mjini ist mjini km10/l kwahyo inapishana kidogo tu. Na kuogopa kumiliki gari zuri kisa mafuta huo ni ujinga kwa maana hakuna gari isiyo kula mafuta kikubwa uwe na nidham kwenye uendeshaji kwa maana hata hyo ist au raum ukiwa una driving skills mbovu itakupa km 8/l. Kikubwa tunza gari na sio kila mahari kwasabab ww una gari bas unaenda nalo.
Sasa hiyo issue ya kutunza gari na kukwepa kwenda nalo kila mahali sasa lina maana gani?

Naend shopping niache gari nyumbani? Au naenda Saloon niache gari nyumbani nipande Boda boda? Ambaye ntamlipa elfu 3. Hii si pesa ya lita moja na itanipeleka na kunirudisha?
 
Nunueni Mitsubishi Outlander mfurahie maisha bhana mafuta ni kidogo tu kama gari ndogo machine unapita popote ukitaka mbio limo sana tu
Naliogopa Engine Size inatisha.....above 2500cc.

Au Engine size haiendani na Ubugiaji wa Mafuta?
 
Model gani Alphard? Engine kubwa V6 au engine ndogo i4?

Crown na Alphard zipo class tofauti sana kufananisha. Alphard ni family car, Crown ni Midsize sedan.

Zote kwenye wese ni mbaya, ila spare utazipata ila sio kwa bei ndogo.

Ngoja nikuulize maswali ambayo yatasaidia wengine wakushauri gari zuri hapo?

1. Upo mkoa gani? Kama nje ya Mji izo gari zina ground clearance ndogo sana. Hazifai.

2. Matumizi yako ni yepi sana sana? Kama ni kwenda na kurudi tu kazini Crown itafaa ila kama kuna kubeba Sana mizigo mfano una duka basi Alphard.

3. Married with family au una mpango wa kua ba familia hivi soon? Kama una familia na watakua wanatumia (mnatumia) wote kwa Pamoja mara kwa mara, Alphard ni kubwa itafaa ila Crown ndogo seat ya nyuma mfano ukifunga seat ya mtoto mdogo haikai vema.

4. Kwa siku una utembezi wa kilometa ngapi? Kama kilometa nyingi izo chuma zinabwia sana wese. Jiandae kwa 7km/L.

5. Ushawahi kua na gari au ndio la kwanza? Kama ndio la Kwanza, izo sio chaguo sahihi
Ushauri mzuri sana
 
Mimi ninayo Alphard mwaka wa 5 huu.. Ni nzuri sana.. Chukua cc 2360 usinunue yale yana kama pampa limeshuka mpaka chini noo.. Yale yanachakaa haraka bodi lake.
Hata bei yake daima ni chini kuliko Alphard Nyingine.
Suala mafuta ni suala la kisaikolojia zaidi kuliko kiuchumi..
Inafaa sana ukitumia peke yako, familia au hata kikundi maana ina siti 8.
Viti vyake unavigeuza upande unaotaka.. Unaweza ukaweka kiofisi, ki conference, ki luxury, kubwa kuliko vile viti ni vitanda vizuri sana yaani ukikunjua unalala kama nyumbani tuu.
Ukiwa na safari au misibani au piknik huhitaji kutafuta lodge unaweza kulala kwa raha kabisa hata watu 3.

Ukikunja viti vya nyumba unabeba mzigo kama wa kirikuu na ukikunja na vya katikati ni balaa kirikuu haioni ndani, full tinted unapita unampungia mkono trafic.
Kwa uzoefu wangu ile gari ina matumizi mengi sana sana ni vile utakavyoamua au kutokana na mazingira ya wakati huo.

Huwezi juta hata siku moja kuwa Alphard.. Kwanza ni kubwa na pana sana mule ndani.. Dereva unakaa kwa nafasi na paa la juu bado lipo mbali huwezi gusa kwa kichwa.
Kwa nje linaonekana kama lipo chini lakini ndani lipo juu sana.

Kama ukinunua yale ambayo ground clearance yake ni ndogo.... Simpo tuu ni kwa mafundi wanakuwekea Spencer za inch moja moja au moja na nusu inakuwa juu vizuri.

Mimi napita nalo popote vumbi, au barabara nzuri, makorongo, mashimo popote, milima, au mabonde.

Service fuata oil sahihi ya engine 10w30 na gear box type iv.. Mengine kawaida.
Natamani sana ni miliki Alphard ila nakosa mtu wa kunipa Motisha.

7Km/L nayo inatisha mkuu sio kisaikolojia tu.

Nilitaka gari ya Tax ku move one statio. To another nafikiri 8seats sio mbaya au unanishauri vipi
 
Kama ukinunua yale ambayo ground clearance yake ni ndogo.... Simpo tuu ni kwa mafundi wanakuwekea Spencer za inch moja moja au moja na nusu inakuwa juu vizuri.

Mimi napita nalo popote vumbi, au barabara nzuri, makorongo, mashimo popote, milima, au mabonde.
Na wewe uliwekewa hizo Spancer?
 
Mimi naona kama pesa iko kiasi ni bora kuwa na Gari mbili moja ya injini ndogo kabsa na moja ya injini kubwa kwa ajili ya masafa.

Kusafiri safari na gari yenye injini ndogo ni mateso sanaaaa,lakini kuwa na gari ya injini ndogo kwa mizunguko ya kila siku mjini ni nzuri sana.
Hizi familia zetu za kiswahili haziamini katika maendeleo binafsi. Watakuandama utadhani walikuchangia kununua gari zako.

Utasikia, "sasa wewe mtu anakaa na magari mawili yote pekee yake mama na baba hapa wanatembelea daladala na bajaji" halafu ndugu mwingine anajibu, "muacheni na migari yake, atakufa ataiacha michuma tu hiyo".

Familia za kiswahili ndio kikwazo cha maendeleo afrika.
 
Back
Top Bottom