Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,086
- 2,144
Ushauri bora kabisaa huukwa hapo angalia moyo wako unapenda nn, kuhusiana na mafuta eti kisa ununue ist au raum utajitesa crown athlete inatembea km 7-10km/l mjini ist mjini km10/l kwahyo inapishana kidogo tu. Na kuogopa kumiliki gari zuri kisa mafuta huo ni ujinga kwa maana hakuna gari isiyo kula mafuta kikubwa uwe na nidham kwenye uendeshaji kwa maana hata hyo ist au raum ukiwa una driving skills mbovu itakupa km 8/l. Kikubwa tunza gari na sio kila mahari kwasabab ww una gari bas unaenda nalo.