UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 406
- 456
Habari zenu humu ndani. Jamani mimi naomba msaada wa kujua general specification za sheria za ujenzi.
Aidha nipewe ufafanuzi au nirushiwe document kama pdf iliyosheheni sheria za ujenzi.
Miongoni mwa mambo hayo ni umbali unaoruhusiwa l kutoka barabara kuu, jinsi gani ya kutumia mipaka ya ujenzi. Umbali unaoruhusiwa kutoka vyanzo vya maji, na kadhalika.
Nikisaidiwa hilo nitashukuru sana.
Aidha nipewe ufafanuzi au nirushiwe document kama pdf iliyosheheni sheria za ujenzi.
Miongoni mwa mambo hayo ni umbali unaoruhusiwa l kutoka barabara kuu, jinsi gani ya kutumia mipaka ya ujenzi. Umbali unaoruhusiwa kutoka vyanzo vya maji, na kadhalika.
Nikisaidiwa hilo nitashukuru sana.