Naomba kujua, ndege ya Rais iko wapi?

Naomba kujua, ndege ya Rais iko wapi?

Ile ni 5H GULF STREAM, ipo ipo tu imepaki. Dunia nzima iko peke yake (ni mtumba). Unaambiwa inakunywa sana wese, ukisafiri nayo inabidi ufungashe kidumu kingine cha mafuta.
Ikiharibika mfano brake, inabidi uende ufaransa walikotengeneza. Na penyewe kiwandani sio kwamba utazikuta brake! inabidi watume mtu aje achukue vipimo ndio waanze kutengeneza hizo brake kwa order maalum.
Ndio maana mzee JK alikuwa anachana mawimbi angani kupitia ndege za mashirika mengine.
 
536a71b7934bf9036e0a2367ca3bb78a.jpg


Chattle Airport. Iko tayari mkuu
Huko chattle hao ngamia wanafanya nini?,sio uarabuni huku?
 
Ile ni 5H GULF STREAM, ipo ipo tu imepaki. Dunia nzima iko peke yake (ni mtumba). Unaambiwa inakunywa sana wese, ukisafiri nayo inabidi ufungashe kidumu kingine cha mafuta.
Ikiharibika mfano brake, inabidi uende ufaransa walikotengeneza. Na penyewe kiwandani sio kwamba utazikuta brake! inabidi watume mtu aje achukue vipimo ndio waanze kutengeneza hizo brake kwa order maalum.
Ndio maana mzee JK alikuwa anachana mawimbi angani kupitia ndege za mashirika mengine.
Gulf stream ni ya mmarekani kiwanda kipo marekani na si ufaransa
 
apart from usumbufu wa barabarani kwa wananchi kutokana na misafara mirefuuu ivi cost ya kutumia ndege na misafara ipi ni cheap
Anashida ya kuonana na wananchi njiani siyo mawingu mkuu.
 
Ile ni 5H GULF STREAM, ipo ipo tu imepaki. Dunia nzima iko peke yake (ni mtumba). Unaambiwa inakunywa sana wese, ukisafiri nayo inabidi ufungashe kidumu kingine cha mafuta.
Ikiharibika mfano brake, inabidi uende ufaransa walikotengeneza. Na penyewe kiwandani sio kwamba utazikuta brake! inabidi watume mtu aje achukue vipimo ndio waanze kutengeneza hizo brake kwa order maalum.
Ndio maana mzee JK alikuwa anachana mawimbi angani kupitia ndege za mashirika mengine.
Wacha wongo ndezi we
 
apart from usumbufu wa barabarani kwa wananchi kutokana na misafara mirefuuu ivi cost ya kutumia ndege na misafara ipi ni cheap

we mzima kweli?

kwenye ku calculate cost za misafara dhidi ya ndege kwa nini unasema "apart from usumbufu kwa wananchi"? Kwa nini tusi factor in hasara za kiuchumi kwa wananchi wa eneo husika na Taifa kwa ujumla pale msafara unapokwamisha jiji zima masaa matatu? That's the biggest loss, uchumi, wananchi kuganda kwenye daladala masaa mawili matatu njia zimefungwa Magufuli bado anajiandaa kutoka chumbani Ikulu.
 
Back
Top Bottom