Naomba kujua, ndege ya Rais iko wapi?

Naomba kujua, ndege ya Rais iko wapi?

Habarii zenu Ndugu Zangu
Najua Mnapenda Halakati Za kuiweka Tanzania Kwenye Mstarii Ziwepo Hivyo Basii Naomba Sapoti Yenu Kama Watanzania
.
.Nawapa Taarifa Kwamba Kwa Sasa Harakatii Zitaendelea Kwenye Page Yangu Mpya Nitayo Waambienii,...
.
. . ~Tuendelee~
.
.

Naamini kila mtu atakuwa anajua kuwa serikali ya awamu ya NNE ilinunua ndege kwa ajili ya safari za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania almaarufu "Ndege ya Rais".
.
. Sasa tokea serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani sijaona Rais akisafiri nayo safari na hasa zile za mbali.Sasa naomba kujua hiyo ndege iko wapi na inafanya kazi gani?!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
MKUU VITU VINGINE NI VYA SIRI MNOOO.LABDA IMEBADIRISHWA KUWA OFISI YA KISERIKALI KUBANA MATUMIZI YA KUWA NA OFISI NYINGI
 
MKUU VITU VINGINE NI VYA SIRI MNOOO.LABDA IMEBADIRISHWA KUWA OFISI YA KISERIKALI KUBANA MATUMIZI YA KUWA NA OFISI NYINGI
Kubana Matumizii...!? Wakat Raisii Anatumia Ngede ya shlika ..!? Why Asitumie Ya serikali nduo Nafuu ...!?
 
Mkuu ndege ile alinunua fisadi Mkapa akiwa amebakisha miezi mitatu tu kumaliza awamu yake. Ndege ile ilikuwa ni bomu jingine maana ilikuwa na matatizo kibao kiasi cha kuogopwa kuipeleka angani. Kikwete hakutaka kutia mguu ikawa inapigwa vumbi pale JKNIA. Niliwahi kusoma humu kwamba uchwara naye anafikiria kununua ndege yake ndege ya Rais kama ile ya Gwajima.


Habarii zenu Ndugu Zangu
Najua Mnapenda Halakati Za kuiweka Tanzania Kwenye Mstarii Ziwepo Hivyo Basii Naomba Sapoti Yenu Kama Watanzania
.
.Nawapa Taarifa Kwamba Kwa Sasa Harakatii Zitaendelea Kwenye Page Yangu Mpya Nitayo Waambienii,...
.
. . ~Tuendelee~
.
.

Naamini kila mtu atakuwa anajua kuwa serikali ya awamu ya NNE ilinunua ndege kwa ajili ya safari za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania almaarufu "Ndege ya Rais".
.
. Sasa tokea serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani sijaona Rais akisafiri nayo safari na hasa zile za mbali.Sasa naomba kujua hiyo ndege iko wapi na inafanya kazi gani?!
 
Unauhakika kuwa ndege ilinunuliwa na serikali ya awamu 4???Ndege ilinunuliwa mwishoni kipindi cha mkapa .Ndege ipo pale terminal 1
 
ilionesha kuna hitilafu ikiwa angani..ikabidi kushushwa..kuichunguza kumbe aliingia nyuki..tena wa mashineni
 
Ndege ipo na inatumika sana tu....!! JPM amepanda sana ziara zake nyingi huwa anaitumia.....ipo na nzima tu
 
Unauhakika kuwa ndege ilinunuliwa na serikali ya awamu 4???Ndege ilinunuliwa mwishoni kipindi cha mkapa .Ndege ipo pale terminal 1
Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba Jk kikwete Alinunua ndege kwa Ajili ya Matumizi Raisii Lakini mpk sasa Haionekaniii
 
Aiseee JF ni waongo sana aiseee... Ndege ipo nani nzima kabisaaa na JK kasafiri nayo sana sanaaaa, na sasa Mh. Rais wetu anasafiri nayo sana tu, ilimpeleka Dodoma juzi na akimaliza shughuli huko itamrudisha Dar.. Pia niliona Makamu wa Rais wetu mama Samia alienda nayo Nairobi, Kenya kwenye sherehe za kuapishwa Rais Uhuru Kenyatta.. Pia niliona Zanzibar ilimpeleka Mh. Rais na kumrudisha. Tena bado mpya sana sana.. CHADEMA acheni uongo duuh

JF waongo aiseeee
 
Aiseee JF ni waongo sana aiseee... Ndege ipo nani nzima kabisaaa na JK kasafiri nayo sana sanaaaa, na sasa Mh. Rais wetu anasafiri nayo sana tu, ilimpeleka Dodoma juzi na akimaliza shughuli huko itamrudisha Dar.. Pia niliona Makamu wa Rais wetu mama Samia alienda nayo Nairobi, Kenya kwenye sherehe za kuapishwa Rais Uhuru Kenyatta.. Pia niliona Zanzibar ilimpeleka Mh. Rais na kumrudisha. Tena bado mpya sana sana.. CHADEMA acheni uongo duuh

JF waongo aiseeee


Mleta mada ameomba kufahamishwa ndege ilipo na inafanya nini,wewe uliyebahatika kufahamu ilipo na inachofanya ulipaswa ulisaidie jukwaa na mleta mada kwa kutueleza ilipo na inachofanya, sasa uwongo wa wanaJf ni nini, au unadhani sote tunafahamu kila unachofahamu wewe?
 
Back
Top Bottom