Naomba kujua mambo matatu muhimu kwa ajili ya Tractor la kulimia

kumbwitu

Member
Apr 11, 2017
19
11
Habari za pilika wanaharakati ,poleni Na mapambano ,.naomba kufahamu mambo matatu kuhusiana Na tractor

1. Naomba kujua ni tractor Bora Na imara kwa Kilimo.
2. Gharama ya tractor kwa hapa tanzania au kwa kuagiza
3. Taasisi au kama kuna bank ambayo unaitoa mikopo ya matractor kwa hapa Tanzania.

Nimedhamilia kuitafuta tractor kwa mwaka 2018, iwe kwa kukopa au kudunduliza natanguliza shukrani zangu kwenu.
 
Nenda NMB wanakopesha matrekta.

Masharti:

1. Lazima uwe unamiliki shamba kunzia heka 18 na kuendelea
2. utatakiwa kutoa benki statement ya mwaka mzima ilikuonesha mzunguko wa pesa kwenye akounti yako
3. Lazima uwe na asilimia 25 ya gharama ya trekta unayotaka kukopa
 
Asa
Nenda NMB wanakopesha matrekta.

Masharti:

1. Lazima uwe unamiliki shamba kunzia heka 18 na kuendelea
2. utatakiwa kutoa benki statement ya mwaka mzima ilikuonesha mzunguko wa pesa kwenye akounti yako
3. Lazima uwe na asilimia 25 ya gharama ya trekta unayotaka kukopa
Asante sana kiongozi najipanga kwa hilo ,VP mabenki mengine kama CRDB ili nijaribu kwenye unaafuu.
 
mkuu sasa mwaka ulopanga ndo huu, tractor ni MF, kubota. john deer,case, ford, na nyingine nyingi toka ulaya ila si za Asa ka india kule ni kichefuchefu ka unataka kupiga kazi kweli kweli maana durability yake si ya uhakika na ni ya muda mfupi, ukipata MF toka marekani, uingereza na baadhi ya mchi za ulaya hata ka ni mtumba utasahau kwa uimara wake, tractor toka nje mfano MF290 inaweza kufika mill35 bila jembe ila ni 2WD
 
Write your reply...Funguka boss,zinauzwa wapi na kiasi gani nataka kujua hata za mikopo njooni na kampuni zake na masharti ili tuamue cha kufanya.
 
Back
Top Bottom