SONGEA
Senior Member
- May 29, 2008
- 101
- 8
Wanajamvi naomba msaada wenu kunifahamisha maana ya neno TRAINEE.
Nauliza hilo baada ya kuona kwenye kampuni ninayofanyia kazi NO matangazo ya kazi wala michakato ya ajira. Badala yake kila siku anakuja mtu eti ni trainee. Hata ambapo. Binafisi naona hii inahatarisha ajira zawatu, maana mtu akienda likizo siku inayofuata analetwa mtu eti ni trainee. mwenyewe akirudi basi wanaendelea kufanyakazi wote. Usalalma wa kazi kwa huyu mtu uko wapi?
Mbaya zaidi ni pale inapobainika kuwa kuna mpango wa kuwapeleka short course hawa trainee. Je, hili neno limetumika vizuri ndugu zangu??
Nauliza hilo baada ya kuona kwenye kampuni ninayofanyia kazi NO matangazo ya kazi wala michakato ya ajira. Badala yake kila siku anakuja mtu eti ni trainee. Hata ambapo. Binafisi naona hii inahatarisha ajira zawatu, maana mtu akienda likizo siku inayofuata analetwa mtu eti ni trainee. mwenyewe akirudi basi wanaendelea kufanyakazi wote. Usalalma wa kazi kwa huyu mtu uko wapi?
Mbaya zaidi ni pale inapobainika kuwa kuna mpango wa kuwapeleka short course hawa trainee. Je, hili neno limetumika vizuri ndugu zangu??