Wgr30
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 1,770
- 2,375
Salaam wanaJf,
Mwishoni mwa wiki hii nina safari ya kwenda mkoa wa Njombe nitakuwa huko kwa mda mrefu kidogo, kwa hiyo naenda kuanza makazi mapya natokea mwanza, sijawahi kufika huko.
Natamani/napenda kujua usafiri wa kutoka mwanza hadi huko kwanza ni gari ipi inayofika huko na ubora wa gari lenyewe, barabara ikoje kwa sababu nitakuwa na mizigo ambayo ikipata barabara mbaya inaweza isifike ikiwa salama, Ni masaa mangapi kutoka mwanza hadi huko,
Hali ya hewa ikoje, watu wake je! vipi kuhusu upatikanaji wa maji, maisha yakoje huko? upatikanaji wa nyumba za kuishi gharama zikoje?
Msaada wenu wakuu naamini humu kuna wenyeji wazaliwa na wakazi wa huko!
.........................
Wakuu tayari niko mkoa wa Njombe
Kiukweli baridi huku sio ya kuuliza kwa watu tuliozoea kuishi mikoa ambayo haina baridi huku utapata shida sana ikiwa ni pamoja na mimi kwa sasa shida ninayopitia ni baridi aisee!!
Kati ya watu 10 9 wana makoti au asiwepo kabisa ambaye hana koti tena koti haswaa!
Huko ni milima na mabonde sehemu tambalale ni chache sana!
Kuna sehemu unapita kutokea makambako kuna shamba la chai Eneo kubwa sana kwambele kidogo utaona kampuni inayolimiliki shamba hilo inaitwa KIBENA sijui kama nimepatia hilo jina.
Wabinti wazuri/warembo huku ni changamoto kiukweli (ukweli mchungu)
Watu wajombe wanajitahidi sana kwa usafi, maeneo mengi ni safi sana!
Nyumba za kulala/Guest ni nyingi sana!
Nyumba za huku zimeezekwa kwa mabati ya zamani sana nadhani zimejengwa zamani!
Ni mengi mazuri wakuu mazuri na mabaya pia!
Mwishoni mwa wiki hii nina safari ya kwenda mkoa wa Njombe nitakuwa huko kwa mda mrefu kidogo, kwa hiyo naenda kuanza makazi mapya natokea mwanza, sijawahi kufika huko.
Natamani/napenda kujua usafiri wa kutoka mwanza hadi huko kwanza ni gari ipi inayofika huko na ubora wa gari lenyewe, barabara ikoje kwa sababu nitakuwa na mizigo ambayo ikipata barabara mbaya inaweza isifike ikiwa salama, Ni masaa mangapi kutoka mwanza hadi huko,
Hali ya hewa ikoje, watu wake je! vipi kuhusu upatikanaji wa maji, maisha yakoje huko? upatikanaji wa nyumba za kuishi gharama zikoje?
Msaada wenu wakuu naamini humu kuna wenyeji wazaliwa na wakazi wa huko!
.........................
Wakuu tayari niko mkoa wa Njombe
Kiukweli baridi huku sio ya kuuliza kwa watu tuliozoea kuishi mikoa ambayo haina baridi huku utapata shida sana ikiwa ni pamoja na mimi kwa sasa shida ninayopitia ni baridi aisee!!
Kati ya watu 10 9 wana makoti au asiwepo kabisa ambaye hana koti tena koti haswaa!
Huko ni milima na mabonde sehemu tambalale ni chache sana!
Kuna sehemu unapita kutokea makambako kuna shamba la chai Eneo kubwa sana kwambele kidogo utaona kampuni inayolimiliki shamba hilo inaitwa KIBENA sijui kama nimepatia hilo jina.
Wabinti wazuri/warembo huku ni changamoto kiukweli (ukweli mchungu)
Watu wajombe wanajitahidi sana kwa usafi, maeneo mengi ni safi sana!
Nyumba za kulala/Guest ni nyingi sana!
Nyumba za huku zimeezekwa kwa mabati ya zamani sana nadhani zimejengwa zamani!
Ni mengi mazuri wakuu mazuri na mabaya pia!