Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,102
- 3,022
Iko hivi kuna rafiki yangu alikopa kwenye hizi microfinance kwa makubaliano ya kulipa baada ya mwaka mmoja na aliweka nyumba kama dhamana ,lakini mambo yalimwendea ndivyo sivyo pesa ikavurugika,sasa jamaa baada ya kuona hivyo akakimbia bila hata kunishirikisha.
Msaada wangu kujua kisheria:- 1.tunaweza kushawishi kuongeza muda wa kulipa mkopo?
2.wanaweza piga bei kiwanja hata kama mwenye nacho hayupo?.
-Naomba msaada nataka nisaidiane na mkewe kuokoa nyumba watoto wasije dhalilika.
Msaada wangu kujua kisheria:- 1.tunaweza kushawishi kuongeza muda wa kulipa mkopo?
2.wanaweza piga bei kiwanja hata kama mwenye nacho hayupo?.
-Naomba msaada nataka nisaidiane na mkewe kuokoa nyumba watoto wasije dhalilika.