Naomba kujua jinsi ya kupunguza pombe kichwani

Markomx

JF-Expert Member
Apr 23, 2016
701
699
wasalaaamu
Awali wa yote wote tunajua kuwa ni weekend kwa hiyo huwa watu wanatoka sehemu mbalimbali kupunguza stress na uchovu wa wiki nzima

Kwa upande wangu ninapokua napata baridi na moto huwa inafika point system inakuwa kwenye equillibrium kiasi kwamba sitakiwi kuongeza hata chupa moja kwani inaweza nipoteza memory zote, kwaiyo huwa ndo mwisho wangu kunywa wakati nikiwa napenda zaidi niendelee ila ndo basi

Kwa watalaamu na wazoefu ningependa kujua jinsi gani ya kupunguza pombe kichwani ili kuwezesha kuendelea kunywa na zingine

Nawasilisha
 
Shukuru Mungu unauweze wa kukontrol kiasi cha pombe, watu wanatafuta huo uwezo wanakosa.
 
Tumia Light Beer, halafu nenda mdogomdogo huku unapumzika na maji beer ikiisha kabla ya kuanzisha nyingine. Ukiweza epuka kula nyama au michemsho hasa kama unatumia beer ya baridi.
 
Tumia Light Beer, halafu nenda mdogomdogo huku unapumzika na maji beer ikiisha kabla ya kuanzisha nyingine. Ukiweza epuka kula nyama au michemsho hasa kama unatumia beer ya baridi.

umeeleweka mkuu
 
ukipiga pombe ukiona hapa nataka kupunguza chukua plain supu yeyote ya moto iwe ya kongoro au pande (Nyama) au kama vipi piga msosi mzito pombe inakata kila la kherii
 
ukipiga pombe ukiona hapa nataka kupunguza chukua plain supu yeyote ya moto iwe ya kongoro au pande (Nyama) au kama vipi piga msosi mzito pombe inakata kila la kherii

well noted
 
wakati wa kulala kula ndizi mbivu moja na glass moja ya maziwa fresh,asubuhi unaamka mpyaaaaaa
 
Back
Top Bottom