mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 750
- 544
Habari za asbh Wana bodi wenzangu!
Naomba nijulishwe kwa mwenye uzoefu juu ya Jambo hili.
Nina miliki kasteshenari huku mikoani, Mwaka Jana wakati nakaanzusha nikalazimika kutafuta leseni ya biashara, huko nikalazimika lazima nianze kwanza TRA ili kupata Tax clearance, nikafanyiwa makadirio ya kulipa Tsh 62,500/= kwa kila robo Mwaka, yenye jumla ya Tsh 250,000/= kwa Mwaka, nikajipiga piga na kwa kuwa biashara ndio nilikuwa naanza lkn nikafanikiwa kulipa pesa yote ktk robo zote nne.
Sasa Mwaka huu nikarudi tena TRA kwa ajili ya kukadiriwa Tena, nukakutana na ongezeko la kutakiwa kulipa Tsh 400,000/= kwa Mwaka ambapo kwa kila robo Mwaka natakiwa kulipa 100,000/= kuwa sina Elimu hii naomba kwa yeyote mwenye kujua, hiyo fedha ni halali yangu au nachomekewa tu? Maana Wala hatujazungumza afisa ananambia Mwaka huu unatakiwa kulipa 400,000/= kwa Mwaka na kila robo utalipa 100,000/=
Naomba nijulishwe kwa mwenye uzoefu juu ya Jambo hili.
Nina miliki kasteshenari huku mikoani, Mwaka Jana wakati nakaanzusha nikalazimika kutafuta leseni ya biashara, huko nikalazimika lazima nianze kwanza TRA ili kupata Tax clearance, nikafanyiwa makadirio ya kulipa Tsh 62,500/= kwa kila robo Mwaka, yenye jumla ya Tsh 250,000/= kwa Mwaka, nikajipiga piga na kwa kuwa biashara ndio nilikuwa naanza lkn nikafanikiwa kulipa pesa yote ktk robo zote nne.
Sasa Mwaka huu nikarudi tena TRA kwa ajili ya kukadiriwa Tena, nukakutana na ongezeko la kutakiwa kulipa Tsh 400,000/= kwa Mwaka ambapo kwa kila robo Mwaka natakiwa kulipa 100,000/= kuwa sina Elimu hii naomba kwa yeyote mwenye kujua, hiyo fedha ni halali yangu au nachomekewa tu? Maana Wala hatujazungumza afisa ananambia Mwaka huu unatakiwa kulipa 400,000/= kwa Mwaka na kila robo utalipa 100,000/=