Ushauri kuhusu TRA wanatuumiza

WANGAMBA

Member
Jul 21, 2022
64
94
Wadau wenzangu ninatatizo limekuta mwenye uelewa naomba anisadie nina duka lipo mjini mwanza linafanya biashara ya rejareja, Juzi nimepigiwa simu TRA mwanza kwamba ninadaiwa kodi nikaombwa nitumiwe contor namba maana huwa sepindi vipengere na selikari makodilio niliofanya mwenyewe 03/03/2023 nilikadiliwa 520000 kwa mwaka tena kwa kulia sana sasa cha kushangaza baada kuingiza contro no. inasoma laki na 8 na ushee kwa kila awamu zilizobaki nikashindwa kulipa lak 8 na ushee kwa kila baada ya miezi 3 na

Awamu ya kwanza nimelipa 138250 mpka laki nane ghafla tu nimeenda kuuliza naambiwa wamekadilia kulingana na mauzo ya mwaka jana 73,250,000 ambayo ni mauzo ya sh 203,000 laki 2 na sh elfu 3000 kwa siku najua kuna biashara nyingi hata za mtaan zina haya mauzo ,sasa kwa mauzo ya laki 2 yenye faida 15000-20000 mtu unawezaje kukasiliwa laki 8 wakat faida hapo 20000x30x3=1,800,000/=
Ulipe kodi — 800,000/=

Jaman huu mbona utumwa wa wazi wazi na ukimuambia afsa TRA kwamba si mnataka nifunge biashara anakujibu funga kwan itakayotesa ni familia yangu au yako me mshahara wangu uko pale pale kweli jaman tunaelekea wap
 
Labda wanakusanya pesa za Kurudisha DP world kwanza kisha mengine yaendelee.maana wenye bandari mmegoma.

Ushauri Wasiliana na bwana Kidata kamishna wa TRA huyo ndio emewatuma
 
Ulipaswa ujikadirie wewe mwenyewe kodi halafu ndio upeleke Tra assessment yako ndio uwe unalipia kwa awamu.
Bila kufanya hivyo ndio utawapa wao jukumu la kukukadiria na wanavyopenda hela watakukadiria kiasi kikubwa mpaka ujute.
 
Wadau wenzangu ninatatizo limekuta mwenye uelewa naomba anisadie nina duka lipo mjini mwanza linafanya biashara ya rejareja, Juzi nimepigiwa simu TRA mwanza kwamba ninadaiwa kodi nikaombwa nitumiwe contor namba maana huwa sepindi vipengere na selikari makodilio niliofanya mwenyewe 03/03/2023 nilikadiliwa 520000 kwa mwaka tena kwa kulia sana sasa cha kushangaza baada kuingiza contro no. inasoma laki na 8 na ushee kwa kila awamu zilizobaki nikashindwa kulipa lak 8 na ushee kwa kila baada ya miezi 3 na

Awamu ya kwanza nimelipa 138250 mpka laki nane ghafla tu nimeenda kuuliza naambiwa wamekadilia kulingana na mauzo ya mwaka jana 73,250,000 ambayo ni mauzo ya sh 203,000 laki 2 na sh elfu 3000 kwa siku najua kuna biashara nyingi hata za mtaan zina haya mauzo ,sasa kwa mauzo ya laki 2 yenye faida 15000-20000 mtu unawezaje kukasiliwa laki 8 wakat faida hapo 20000x30x3=1,800,000/=
Ulipe kodi — 800,000/=

Jaman huu mbona utumwa wa wazi wazi na ukimuambia afsa TRA kwamba si mnataka nifunge biashara anakujibu funga kwan itakayotesa ni familia yangu au yako me mshahara wangu uko pale pale kweli jaman tunaelekea wap
Labda wanataka ujiongeze
 
Wadau wenzangu ninatatizo limekuta mwenye uelewa naomba anisadie nina duka lipo mjini mwanza linafanya biashara ya rejareja, Juzi nimepigiwa simu TRA mwanza kwamba ninadaiwa kodi nikaombwa nitumiwe contor namba maana huwa sepindi vipengere na selikari makodilio niliofanya mwenyewe 03/03/2023 nilikadiliwa 520000 kwa mwaka tena kwa kulia sana sasa cha kushangaza baada kuingiza contro no. inasoma laki na 8 na ushee kwa kila awamu zilizobaki nikashindwa kulipa lak 8 na ushee kwa kila baada ya miezi 3 na

Awamu ya kwanza nimelipa 138250 mpka laki nane ghafla tu nimeenda kuuliza naambiwa wamekadilia kulingana na mauzo ya mwaka jana 73,250,000 ambayo ni mauzo ya sh 203,000 laki 2 na sh elfu 3000 kwa siku najua kuna biashara nyingi hata za mtaan zina haya mauzo ,sasa kwa mauzo ya laki 2 yenye faida 15000-20000 mtu unawezaje kukasiliwa laki 8 wakat faida hapo 20000x30x3=1,800,000/=
Ulipe kodi — 800,000/=

Jaman huu mbona utumwa wa wazi wazi na ukimuambia afsa TRA kwamba si mnataka nifunge biashara anakujibu funga kwan itakayotesa ni familia yangu au yako me mshahara wangu uko pale pale kweli jaman tunaelekea wap
Tafuta namba ya waziri wa fedha tovuti ya Bunge mtumie hayo na jina la huyo ofisa TRA
 
Ulipaswa ujikadirie wewe mwenyewe kodi halafu ndio upeleke Tra assessment yako ndio uwe unalipia kwa awamu.
Bila kufanya hivyo ndio utawapa wao jukumu la kukukadiria na wanavyopenda hela watakukadiria kiasi kikubwa mpaka ujute.

Nilijikadilia mwenyewe 52000 kwa mwaka na ikapitishwa hii nashangaa
 
Kuna watu wengine akili mmenyimwa kabisa. Badala ya kwenda ofisini kwao wewe unakuja kuleta uzi JF? Unadhani sisi hapa tutafanya nini? TRA ni watu sio wanyama. Wafuate ofisini kwao mkaongee. JF haitazuia TRA kudai chao.
 
Tatizo huenda ni elimu, usimkadirie mtu kulingana na mauzo kwa siku, Ila angalia faida yake ndio mgawane na serikali, ukiangalia mauzo unakata mtaji wake.
Nacholelewa mtu anakadiriwa kulingana na mauzo kwa mwaka na huyu ni mwenye mauzo ya chin ya milioni 100 kwa mwaka na mwenye mauzo zaidi ya 100m wao wanalipa kulingana na faida. Ushauri wangu fika ofisi ya TRA ili wakusaidie inawezekana pia ikawa siyo yako hebu fatilia.
 
Umenishangaza Sana,kwanza kabisa hutakiwi wewe kusema eti unauza laki na kitu kwa mwezi sema hata elfu 10 kwa siku mtaji shusha,wakitaka kuja kutembelea wakalibishe alafu wapige chenga hata siku moja usimruhusu afisa apajue ofisini kwako labda siku akukute yeye ofisini,Cha kufanya pia kuwa na stoo km unamtaji mkubwa Sana ndugu sema wengi mnapenda kufanya biashara kwa kujionesha,Cha kufanya huwezi kufanya biashara ya reja reja ukalipa hiyo hela bhana,andika barua ya kufunga biashara badili usajiri alafu punguza mtaji
 
Nna swali binafsi tofauti na maada, samahani kidg.

Hivi inawezekana kwa njia gani non-resident akawa na biashara hapa Tz?

Mfano mtu aishi marekani ila awe na bishara hapa.
 
Wadau wenzangu ninatatizo limekuta mwenye uelewa naomba anisadie nina duka lipo mjini mwanza linafanya biashara ya rejareja, Juzi nimepigiwa simu TRA mwanza kwamba ninadaiwa kodi nikaombwa nitumiwe contor namba maana huwa sepindi vipengere na selikari makodilio niliofanya mwenyewe 03/03/2023 nilikadiliwa 520000 kwa mwaka tena kwa kulia sana sasa cha kushangaza baada kuingiza contro no. inasoma laki na 8 na ushee kwa kila awamu zilizobaki nikashindwa kulipa lak 8 na ushee kwa kila baada ya miezi 3 na

Awamu ya kwanza nimelipa 138250 mpka laki nane ghafla tu nimeenda kuuliza naambiwa wamekadilia kulingana na mauzo ya mwaka jana 73,250,000 ambayo ni mauzo ya sh 203,000 laki 2 na sh elfu 3000 kwa siku najua kuna biashara nyingi hata za mtaan zina haya mauzo ,sasa kwa mauzo ya laki 2 yenye faida 15000-20000 mtu unawezaje kukasiliwa laki 8 wakat faida hapo 20000x30x3=1,800,000/=
Ulipe kodi — 800,000/=

Jaman huu mbona utumwa wa wazi wazi na ukimuambia afsa TRA kwamba si mnataka nifunge biashara anakujibu funga kwan itakayotesa ni familia yangu au yako me mshahara wangu uko pale pale kweli jaman tunaelekea wap
Kwanza kabisa pole sana masee., ujue tatizo la Nchi yetu upumbavu ni mwingi san. TRA ilitakiwa iwe urafiki na mfanyabiashara, lakini sas ni uadui kama Polisi na Raia.

Unakuta mtu badala ya kumwelewesha mteja anajibu as if anafanya kazi ya baba yake. Kuna maafisa wastarabu sana ila kuna wale wenye roho za kukunja ni sheeda.

Halafu, wew ulipopata hiyo hesabu mpya ungeenda ofisini kwao ukapambana nao tu kuliko kuikubali, maana tayari ulikuwa umeshafanya assessment.

Tena aliyekwambia funga unamkoromea humo humo tena kwa sauti kubwa., hii Nchi kwa sas ungese ni mwingi sana musee.
 
Kuna watu wengine akili mmenyimwa kabisa. Badala ya kwenda ofisini kwao wewe unakuja kuleta uzi JF? Unadhani sisi hapa tutafanya nini? TRA ni watu sio wanyama. Wafuate ofisini kwao mkaongee. JF haitazuia TRA kudai chao.
Acha makasiriko wewe humu ni sehemu ya kupata ushauri au unadhani humu Ni pa kuleta nyuzi za mapenzi???
 
Back
Top Bottom