Naomba kujua benki inaruhusiwa kukopesha kiasi gani cha pesa kisheria ukilinganisha na mtaji wake?

Masibayi

Member
Jan 2, 2018
19
65
Naomba kujua benki inaruhusiwa kukopesha kiasi gani cha pesa ukilinganisha na mtaji wake?

Pia benki kuu inaweza kuongeza idadi ya noti katika mzunguko kama ikiamua?

Asanteni wanasheria!
 
Naomba kujua benki inaruhusiwa kukopesha kiasi gani cha pesa ukilinganisha na mtaji wake?

Pia benki kuu inaweza kuongeza idadi ya noti katika mzunguko kama ikiamua?

Asanteni wanasheria!

swali la wanauchumi ngoja waje wazee wa Macroeconomics ... Monetary policy I think
 
Back
Top Bottom