Naomba Kujua Bei ya Tecno W5 wadau.

Naomba Kujua Bei ya Tecno W5 wadau.

NDUKI

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
3,440
Reaction score
2,450
Salaam wadau.

Natumai mko vyema kabisa. Well, kama tittle inavyosema wadau mwenye kufaham bei ya w5 naomba anifahamishe wandugu.

Nipo Dar-es-salaam.

Shukran.
 
na w5 lite nauza 170000
Embu tuambie huko unakonunua wewe na sisi tukanunue mana hata Bei ya jumla bado haijafika we mwenzetu unazitoa wapi utupe na sisi hilo deal
 
Embu tuambie huko unakonunua wewe na sisi tukanunue mana hata Bei ya jumla bado haijafika we mwenzetu unazitoa wapi utupe na sisi hilo deal

Bei ya jumla ni ngapi mkuu...?
 
Habari wakuu. Nahitaji tecno W5.. pls ni pm bei maelewano.
 
Back
Top Bottom