the Boss bora uwafahamishe maana zamani watu walikuwa wanaoana bila kuvulumushana kulingana na maadili yaliyokuwepo, binti hajawahi kufanya tendo la ndoa na wanaume vile vile, ila ilikuwa ikifahamika kuwa jogoo la mwanaume halipandi mtungi basi binti atarudi kwao na ndoa inavunja immediatelly, sasa siku hizi utapata wapi mvulana ambae hafanya ngono au msichana ambae ni bikira ili waoane? na ilikuwa inatokea msichana labda ameenda kusenya kuni anakimbizwa na mvulana na akishamkamata tu harudi kwao inatumwa taarifa wanafuata mahali mambo ya ndoa baadae, so haya mambo ni kumwomba mungu tu unapokuwa katika hicho kipindi akuongoze ili ufunge ndoa kabisa kabla ya kukaa pamoja then baadae mnafunga ndoa, nimalizie kwa kusema kuwa hata hivyo ndoa nyingi zimefungwa kabla ya kukaa pamoja na zimevunjika na zipo zilibarikiwa baada ya miaka hata kumi na tano na wanaishi kwa furaha.