Michael ulilo j
New Member
- Feb 10, 2022
- 4
- 1
Kuna baadhi ya kazi zinaomba utume na leaving certificate. Je, mfano sina leaving certificate alafu nina vyeti husika vya kuhitimu level hizo za elimu na nikatuma kwenye maombi nitakuwa sahihi au vipi?
Mfano post za Jeshi la polisi,na jeshi la uhamiaaji zilizotangazwa hivi karibu kama tarehe 05/12/2022,zimedai miongoni mwa nakala za kutuma ni pamoja na leaving certificate and academic certificates,
Sasa mimi sina leaving certificates na nimetuma nakala za vyeti,hapa imekaaje?
Waone hawa jamaa wakushauri,Kuna baadhi ya kazi zinaomba utume na leaving certificate. Je, mfano sina leaving certificate alafu nina vyeti husika vya kuhitimu level hizo za elimu na nikatuma kwenye maombi nitakuwa sahihi au vipi?
Leaving certificate husaidia kukitetea cheti chako kwamba ulipita shule kweli.Kuna baadhi ya kazi zinaomba utume na leaving certificate. Je, mfano sina leaving certificate alafu nina vyeti husika vya kuhitimu level hizo za elimu na nikatuma kwenye maombi nitakuwa sahihi au vipi?
Hujakidhi matakwa yao. Simple and clear na ukikosa usianze kutafuta mchawi.Mfano post za Jeshi la polisi,na jeshi la uhamiaaji zilizotangazwa hivi karibu kama tarehe 05/12/2022,zimedai miongoni mwa nakala za kutuma ni pamoja na leaving certificate and academic certificates,
Sasa mimi sina leaving certificates na nimetuma nakala za vyeti,hapa imekaaje?