Naomba kufahamu ubora wa Toshiba LED TV vs Hisence LED TV

Naipuli

JF-Expert Member
Oct 8, 2012
266
109
Poleni kwa majukumu waungwana;

Katika harakati za kufanya Windows shopping, nimekutana na hii TV, brand ya TOSHIBA, 40 inch, LED, FHD, siyo smart Tv, ambayo pamoja na mambo mengine, ina ports 2 za HDMI, 2 USB, etc.

Before nilikuwa nafikiria HISENCE kutokana na gharama zake kuwa chini kidogo compared na brands zingine kama LG, SAMSUNG, SONY etc.
Lkn baada ya kukutana na hiyo, nimeona inaweza kuwa ni option nyingine pia.

Naomba ushauri wenu tafadhali;
1. Ubora/uzuri wake na mapungufu yake ukilinganisha na HISENCE na brands zingine pia.

2. Inches 40 kwa bei ya around Laki 6 au chini ya hapo kidogo, kwa TV ambayo LED, FHD, not Smart, No 4K ni reasonable?

3. Kwa Budget hiyo, mnanishauri Brand ipi kwa TV yenye kuanzia 40 inches na kuendelea kama nitaachana na hiyo TOSHIBA?

CC: Chief-Mkwawa
 
Poleni kwa majukumu waungwana;

Katika harakati za kufanya Windows shopping, nimekutana na hii TV, brand ya TOSHIBA, 40 inch, LED, FHD, siyo smart Tv, ambayo pamoja na mambo mengine, ina ports 2 za HDMI, 2 USB, etc.

Before nilikuwa nafikiria HISENCE kutokana na gharama zake kuwa chini kidogo compared na brands zingine kama LG, SAMSUNG, SONY etc.
Lkn baada ya kukutana na hiyo, nimeona inaweza kuwa ni option nyingine pia.

Naomba ushauri wenu tafadhali;
1. Ubora/uzuri wake na mapungufu yake ukilinganisha na HISENCE na brands zingine pia.

2. Inches 40 kwa bei ya around Laki 6 au chini ya hapo kidogo, kwa TV ambayo LED, FHD, not Smart, No 4K ni reasonable?

3. Kwa Budget hiyo, mnanishauri Brand ipi kwa TV yenye kuanzia 40 inches na kuendelea kama nitaachana na hiyo TOSHIBA?

CC: Chief-Mkwawa

mkuu una uhakika umeikuta hii toshiba kwa laki 6? na tv ya full hd ni nzuri, majority ya tv za laki 6 kushuka ni HD ya kawaida 1280x720 na sio full hd 1920x1080

ni tv nzuri LED, ina DVB T2, ina dolby audio etc, kama unaipata kwa laki 6 na ni mpya usijishauri chukua mkuu. ila angalia mara mbili mbili isiwe feki.

kama unaachana na toshiba option zilizobakia ni wachina hisense ama TCL
 
mkuu una uhakika umeikuta hii toshiba kwa laki 6? na tv ya full hd ni nzuri, majority ya tv za laki 6 kushuka ni HD ya kawaida 1280x720 na sio full hd 1920x1080

ni tv nzuri LED, ina DVB T2, ina dolby audio etc, kama unaipata kwa laki 6 na ni mpya usijishauri chukua mkuu. ila angalia mara mbili mbili isiwe feki.

kama unaachana na toshiba option zilizobakia ni wachina hisense ama TCL
Nakushukuru sana Mkuu.
Nazingatia ushauri wako.
Ubarikiwe sana Mkuu.
 
Chukua mwamba mimi nilinunua nnchi 32 lad tv kwa laki 4 sijakaa nijute kwa sababu HD 1900 1080 aijawai kunisumbua NImenunua tangia 2019 hadi leo
 
Back
Top Bottom