Hakuna sana sana unaweza kupata gesi tumboni.... Kunywa si zaidi ya lita moja kwa ushauri wangu.... Unaendeleaje lakini na vibebiiHabari za jumapili daktari.
naomba kufahamu madhara ya kiafya ya kunywa maziwa lita moja ma nusu kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sana sana unaweza kupata gesi tumboni.... Kunywa si zaidi ya lita moja kwa ushauri wangu.... Unaendeleaje lakini na vibebii
[/OUTE/]
ahh hatujambo vibebii vinapendeza tu.. Mungu ametukaza kwa neema zake katubariki kupita maneno.
Amen.. Dah Mungu wangu hajawahi kuniachanKumepambazuka sasa... Hata Usiku uwe mrefu vp kutapambazuka tuu.... Jina la Bwana wetu Kristo aliye hai lihimidiwe na kutukuzwa milele
AamenAmen.. Dah Mungu wangu hajawahi kuniachan
Kumepambazuka sasa... Hata Usiku uwe mrefu vp kutapambazuka tuu.... Jina la Bwana wetu Kristo aliye hai lihimidiwe na kutukuzwa milele
Ndio mimi ni mkristo MlutheriHaaa mshana kumbe ww ni mkristo?dhehebu lipi??
Haahahaha kumbe mprotestant halisi nilijua ww huna dini zaidi ya uganga tu.saafi mkuuNdio mimi ni mkristo Mlutheri
DuuHaahahaha kumbe mprotestant halisi nilijua ww huna dini zaidi ya uganga tu.saafi mkuu
Duh... Basi nishakufa tayari.Ukisoma kuhusu cancer wanasema maziwa mtindi ndio chakula kikuu cha cancer ,hivyo unashauriwa upunguze kunywa mtindi ili upunguze chance ya kupata cancer
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni mafuta yanayotumika kuandaa au kupikia hiyo nyama ila sema lawama huwa anabebeshwa nyama,utasikia nyama nyekundu mbaya ila uhalisia haupo hivyo.ni vyema kama ungesema ni nyama ipi mkuu?
Mkuu, anza kunywa kwanza kwa muda unaotaka kisha rudi hapa kutuletea mrejesho kama utakufa basi Mungu akupokee kwa mikono yote miwili🙏Habari za jumapili daktari.
naomba kufahamu madhara ya kiafya ya kunywa maziwa lita moja ma nusu kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app