Naomba kufahamu kuhusu Mercedes benz c class 2005

Naomba kufahamu kuhusu Mercedes benz c class 2005

b yaoman

Member
Joined
Sep 11, 2020
Posts
44
Reaction score
58
Habari za majukumu wakuu
Kama kichwa kinavyojieleza nahitaji kununua mercedes benz c class (c180/c200) ya (2000-2005) hizi ndonamudu ushuru wake naomba kufahamu kuhusu uimara kwa ujumla na upatikanaji wake wa spare...gharama za huduma
Natanguliza shukrani
 

Attachments

  • 1743118893924.jpg
    1743118893924.jpg
    488.2 KB · Views: 26
Habari za majukumu wakuu
Kama kichwa kinavyojieleza nahitaji kununua mercedes benz c class (c180/c200) ya (2000-2005) hizi ndonamudu ushuru wake naomba kufahamu kuhusu uimara kwa ujumla na upatikanaji wake wa spare...gharama za huduma
Natanguliza shukrani
Jitahidi uangalie za miaka ya sasa 2015 mpaka 2020.
 
Nunua Benz ya kuanzia 2010 mpaka 2013 naona kodi hazijachangamka sana ni bora ununue gari bei kubwa harafu kodi ulipie nafuu ila usinunue hiyo ya 2005 itakua chuma chakavu soon maana upo muda uratakiwa ubadili miguu yote sijui shocks zake na baadhi ya seal bei utakayokuja kuambiwa kwa Tanzania utaiacha gari garage ingawaje Benz ukiipata hizi za karibuni ndio gari kitu kufa ni kama Punda sio leo wala kesho na ukiweka ni hivyo hivyo pia comfort ya kwenye Mercedes-Benz hauwezi kuipata kwenye aina nyingi za gari wanayo wao tu..
 
Nunua Benz ya kuanzia 2010 mpaka 2013 naona kodi hazijachangamka sana ni bora ununue gari bei kubwa harafu kodi ulipie nafuu ila usinunue hiyo ya 2005 itakua chuma chakavu soon maana upo muda uratakiwa ubadili miguu yote sijui shocks zake na baadhi ya seal bei utakayokuja kuambiwa kwa Tanzania utaiacha gari garage ingawaje Benz ukiipata hizi za karibuni ndio gari kitu kufa ni kama Punda sio leo wala kesho na ukiweka ni hivyo hivyo pia comfort ya kwenye Mercedes-Benz hauwezi kuipata kwenye aina nyingi za gari wanayo wao tu..
Swalu la ziada mkuu mbona izi crown za 2005 bado zinaingizwa au ndo toyota
 
Swalu la ziada mkuu mbona izi crown za 2005 bado zinaingizwa au ndo toyota
SA na Japani wapo tofauti kwenye uuzaji magari wao gari ya mwaka 2005,6,7 labda Land Rover TDI 300, Land Cruiser ndio kidogo watasimamia bei ila tofauti na hapo utaokota kwa bei ndogo maana kwa SA ni gari chakavu sana ila Japan wao wanaangalia demand sio mwaka wa gari ndio maana IST za mwaka huo tu zipo bei juu mpaka inafika Tanzania wakati SA kwa mwaka huo labda ununue 4 by 4 car sio hizo saloon car..
 
Back
Top Bottom