Habari wadau. Nimetokea kuipenda hiyo gari na natamani kuinunua panapo majaliwa. Naomba msaada kujua changamoto zake hasa.. ina shida gani... upatinakaji wa spea na menguneyo. Nimepitia thread kadhaa za nyuma hapa jamii forum juu ya gari hiyo ila sijapata majibu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu!
Natanguliza shukrani zangu kwenu!