IDFakenyingine
Member
- Sep 28, 2022
- 81
- 196
Bila kuwachosha, niende kwenye mada.
Nimetokea kuipenda sana hii gari, na ninataka kuinunua.
Lakini kabla 'sijajilipua', ningeomba mawili matatu kuhusiana nayo kutoka kwa wataalam wa magari au watu waliowahi kumiliki Nissan Dualis.
Je, ni kweli ENGINE na GEARBOX za hii gari ni PASUA KICHWA SANA..?!
Vipi uhimilivu wake kwenye ROUGH ROADS..?
Manake ITAPAMBANA na kilometa 25 za rough road kabla ya kugusa lami mara 3 kwa wiki!
Vijiweni maneno ni mengi, nimekuja humu nakiamini kuna WAJUZI na WATAALAM!
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Cc: Extrovert RRONDO Offshore Seamen JituMirabaMinne Boeing 747 chilubi
Nimetokea kuipenda sana hii gari, na ninataka kuinunua.
Lakini kabla 'sijajilipua', ningeomba mawili matatu kuhusiana nayo kutoka kwa wataalam wa magari au watu waliowahi kumiliki Nissan Dualis.
Je, ni kweli ENGINE na GEARBOX za hii gari ni PASUA KICHWA SANA..?!
Vipi uhimilivu wake kwenye ROUGH ROADS..?
Manake ITAPAMBANA na kilometa 25 za rough road kabla ya kugusa lami mara 3 kwa wiki!
Vijiweni maneno ni mengi, nimekuja humu nakiamini kuna WAJUZI na WATAALAM!
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Cc: Extrovert RRONDO Offshore Seamen JituMirabaMinne Boeing 747 chilubi