Mkuu kule Ni milimani lakini panafikika vizur tu
Unataka uanze kulitumia lini mkuu
Nahitaji shamba huko msaada Kiongozi
Mkuu kule Ni milimani lakini panafikika vizur tu
Unataka uanze kulitumia lini mkuu
Nahitaji shamba huko msaada Kiongozi
Kwa muheza yanapatikana?Unataka shamba maeneo gani?
Fika muheza ndani ndani kuna kijiji kinaitwa mashewa mashamba ni bei rahisi tofauti na yaliyopo barabara kuu ya Tanga _segera