General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,116
- 2,285
Wakuu mi ni Mtanzania pekee ambae mpaka sasa hivi ukiniuliza faida kuu 5 za Muungano wa Tanzania na Zanzibar nitakujibu moja kuwa ni kuimarisha usalama wa Tanganyika na Zanzibar.
Ila ni muda sasa sijafahamu ama kushuhudia faida za wazi kabisa juu ya Muungano wetu.
Hivyo nimekuja hapa Jukwaani kuomba msaada wakufahamu faida lukuki tunazo faidika waTanganyika na Wanzibar juu ya huu Muungano.
Shukrani zangu ziwaendee wale mtakao nifundisha vyema
Ila ni muda sasa sijafahamu ama kushuhudia faida za wazi kabisa juu ya Muungano wetu.
Hivyo nimekuja hapa Jukwaani kuomba msaada wakufahamu faida lukuki tunazo faidika waTanganyika na Wanzibar juu ya huu Muungano.
Shukrani zangu ziwaendee wale mtakao nifundisha vyema