Nilikuwa naangalia kipindi cha BBA number nne kinacho rushwa na Dstv,nakamuona huko ndani ya jumba la hilo BBA kijana wetu Kanumba, lakini cha kushangaza nikwamba kanumba alikuwa na wasiwasi hata kujieleza anashindwa haswa pale alipo iitwa na Big,niloona aibu mpaka ilinilazimu nizime tv,msaada ninao hitaji ni vigezo gani wanavyotumia kumpata mtu kwenda kwenye hilo jumba? na ninani aliyempendekekeza kanumba bila kumwandaa? huyu mtu aliempeleka huko hakuwa na nia ya kumdhalilisha kweli! na lamwisho hivi tz hatuna entertainer mwingine mwenye uwezo wa kujieleza zaidi ya huyu! hayo ndo maswali yangu najuuliza kwa uwezo wa wana jf naamini mtanisadia na kumshauri kijana wetu huyu,asanteni