Naomba kufahamishwa!

Mike 1234

JF-Expert Member
Feb 23, 2009
1,633
154
Nilikuwa naangalia kipindi cha BBA number nne kinacho rushwa na Dstv,nakamuona huko ndani ya jumba la hilo BBA kijana wetu Kanumba, lakini cha kushangaza nikwamba kanumba alikuwa na wasiwasi hata kujieleza anashindwa haswa pale alipo iitwa na Big,niloona aibu mpaka ilinilazimu nizime tv,msaada ninao hitaji ni vigezo gani wanavyotumia kumpata mtu kwenda kwenye hilo jumba? na ninani aliyempendekekeza kanumba bila kumwandaa? huyu mtu aliempeleka huko hakuwa na nia ya kumdhalilisha kweli! na lamwisho hivi tz hatuna entertainer mwingine mwenye uwezo wa kujieleza zaidi ya huyu! hayo ndo maswali yangu najuuliza kwa uwezo wa wana jf naamini mtanisadia na kumshauri kijana wetu huyu,asanteni
 
waliompendekeza hawajakosea kwani waliangalia kwa tz kanumba yuko juu katika fani ya uigizaji hivyo nategemea kwa mtu yeyote hata wewe ungeambiwa hata kabla hajaondoka kuwa kanumba kachaguliwa nadhani ungemkubali kwani ni wazi kati ya macerebrity wa bongo yumo na yuko juu ila kajiangusha mwenyewe kashindwa kutofautisha maigizo na hali halisi.Pengine kwa kuwa amefunga maana nasikia aliuzwa iwapo ni mfuasi wa dini ya kiislamu yeye alisema am closing(yaani am fasting) hapo napo kama kweli katuabisha kinoma.Kajiangusha mwenyewe ndoja tusubiri anaweza kujirekebisha na kujinasua......
''Mvumilivu hula mbivu.....ila mvundika mbivu hula mbovu''
 
waliompendekeza hawajakosea kwani waliangalia kwa tz kanumba yuko juu katika fani ya uigizaji hivyo nategemea kwa mtu yeyote hata wewe ungeambiwa hata kabla hajaondoka kuwa kanumba kachaguliwa nadhani ungemkubali kwani ni wazi kati ya macerebrity wa bongo yumo na yuko juu ila kajiangusha mwenyewe kashindwa kutofautisha maigizo na hali halisi.Pengine kwa kuwa amefunga maana nasikia aliuzwa iwapo ni mfuasi wa dini ya kiislamu yeye alisema am closing(yaani am fasting) hapo napo kama kweli katuabisha kinoma.Kajiangusha mwenyewe ndoja tusubiri anaweza kujirekebisha na kujinasua......
''Mvumilivu hula mbivu.....ila mvundika mbivu hula mbovu''
Mkuu Jile,actually it went like this:
Big Brother: "Hallo Kanumba,why are you not eating?
Kanumba: "I am closing this month.i will open in the evening when i futari"
 
waliompendekeza hawajakosea kwani waliangalia kwa tz kanumba yuko juu katika fani ya uigizaji hivyo nategemea kwa mtu yeyote hata wewe ungeambiwa hata kabla hajaondoka kuwa kanumba kachaguliwa nadhani ungemkubali kwani ni wazi kati ya macerebrity wa bongo yumo na yuko juu ila kajiangusha mwenyewe kashindwa kutofautisha maigizo na hali halisi.Pengine kwa kuwa amefunga maana nasikia aliuzwa iwapo ni mfuasi wa dini ya kiislamu yeye alisema am closing(yaani am fasting) hapo napo kama kweli katuabisha kinoma.Kajiangusha mwenyewe ndoja tusubiri anaweza kujirekebisha na kujinasua......
''Mvumilivu hula mbivu.....ila mvundika mbivu hula mbovu''

alipoulizwa hilo swali alishindwa kumwelewa muuliza swali so why akajibu vile ila kingine pale alipokuwa anacheka kitu ambacho siyo cha kucheka ila poa mvumilivu hula mbivu
 
Mkuu Jile,actually it went like this:
Big Brother: "Hallo Kanumba,why are you not eating?
Kanumba: "I am closing this month.i will open in the evening when i futari"
Is this for real or those kinnd of joke?Mbona huwa anaonekana mjanja kumbe ni viwanja vya uswahilini!Kazi kweli kweli!
 
Mkuu Jile,actually it went like this:
Big Brother: "Hallo Kanumba,why are you not eating?
Kanumba: "I am closing this month.i will open in the evening when i futari"

hahahahahaha this is very interesting...eti i am closing i will open in the evening when i futari hahahaha niemcheka hadi basi uwiii....is this the same kanumba aliyejipakazia amepata walk of fame kule Hollywood-CA?.....utadhani zinatolewa kwa kiholela tuu.....ss umenipa moto wa kuangalia BBA 4.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom