Ni TSH 5000 na VAT asilimia 18 ya hiyo buku tano so ni kama buku sita kasoro kidogo Mkuu!Habarini wandugu
Naomba kwa anayefahamu,kuchukua fomu ya kuomba kuvuta umeme wa tanesco kwenye nyumba ni bei gani?
Habarini wandugu
Naomba kwa anayefahamu,kuchukua fomu ya kuomba kuvuta umeme wa tanesco kwenye nyumba ni bei gani?
Mkuu alichoomba kujulishwa mtoa mada ni gharama za kuchukua fomu ya maombi ya umeme na c gharama za kuingiza umeme.Nenda Tanesco kwenyewe ili upate jibu la uhakika, isije ikawa unahtaji minguzo mingi hapa utaishia kupewa data hafifu bure