google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,695
Ur weak man be strong then boom utapataWaheshimiwa sana, salibonani!
Nazipata kauli kwa watu mbalimbali za kusifia utamu wa mwanamke mwenye mnato! Ni bahati mbaya kwangu kila nikiopoa napata wadada wenye mabwawa, nakwenda kuogelea na hii mashine yangu ya saizi ndogo!
Naomba kufahamishwa maumbile ya mwili wa mwanamke mwenye mnato, ili nianze kuwasaka nami nishiriki raha iliyofichwa kwenye hazina hii!