Aisee na mimi sijawahi kusikia hio machine ikiwa na cc 3000.Ndogo ninayoifahamu ni 4.0L V6 Petrol.
Kuwa na VX halafu kuendesha mwendo wa Vitz na IST ni matumizi mabaya ya rasilimali.Ukiendesha speed Kati ya 80km/h mpaka 100km/h utapata consumption nzuri Sana.
Swali ni je,utayashinda majaribu ya hiyo gari?
"Be Humble"
NitarudiHi,
Naomba msaada kwa anayefahamu. Naomba kufahamu roughly ni Diesel/Petrol kiasi gani naweza kutumia kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kwa kutumia Gari lenye Engine Capacity (cc) 3000. Aina ya Gari ni LAND CRUISER 200 VX Wagon V8 DIESEL AUTOMATIC 4WD.
NB NAHIYTAJI UHALISIA NA UZOEFU ZAIDI KULIKO SCIENCE NA SPECIFICATION, kwani hili gari fuel economy yake kutokwa kwa manufacturer inapokuwa kwenye hali yaje mzuri bila ya uchakavu ni 9.5L/100km inamaana inakula lita 1 kwa kila kilomita 10.5.
ZINGATIA KUWA GARI HILI LINA UMRI WA MIAKA 5 TU. PIA CHUKULIA UMBALI KUTOKA DAR MPAKA MWANZA NI KILOMITA 1150. ASANTENI
Mkuu ukiona go and return unatumia lita zaidi ya 240 ni bora ukamkatia tiketi ya ndege tuYes dear
Straight away, hawezi kuwa mteja😂Gari ina cc3000. Halafu ni VX 4.5L v8! Umenikumbusha kuna jamaa aliingia kwa dealer wa Range Rover akaanza kuuliza habari za fuel consumption wakamwambia wewe si mteja wa RR.
Samahani mkuu mwenye VX haulizii fuel consumption.
Umeshajiuliza kama ni safari ya familia atalipia watu wangapi?Mkuu ukiona go and return unatumia lita zaidi ya 240 ni bora ukamkatia tiketi ya ndege tu
Lile dude inabidi utembee mwendo wa Raisi ndio raha yakeKuwa na VX halafu kuendesha mwendo wa Vitz na IST ni matumizi mabaya ya rasilimali.
Kwa maelezo yake anataka kumchukua kizee, sasa kama hilo ni lengo ni afadhali amkatie tu ndege.Umeshajiuliza kama ni safari ya familia atalipia watu wangapi?
sahihiKwa maelezo yake anataka kumchukua kizee, sasa kama hilo ni lengo ni afadhali amkatie tu ndege.
240L ni around 200k ambayo ni karibu na hela atazotumia kwenye ndege, tena hapo kwenye gari kuna muda, gharama za service, rushwa za mapolisi, uchovu hasa kwa anayemleta.
Ni bora ndege mkuu na kama kuna mizigo ya ulazima ataituma kwa basi
Hahaahaahaa eti kumleta kizeeKwa maelezo yake anataka kumchukua kizee, sasa kama hilo ni lengo ni afadhali amkatie tu ndege.
240L ni around 200k ambayo ni karibu na hela atazotumia kwenye ndege, tena hapo kwenye gari kuna muda, gharama za service, rushwa za mapolisi, uchovu hasa kwa anayemleta.
Ni bora ndege mkuu na kama kuna mizigo ya ulazima ataituma kwa basi
tehe teheHahaahaahaa eti kumleta kizee
Wengine wanapenda kuendesha zaidi.Mkuu ukiona go and return unatumia lita zaidi ya 240 ni bora ukamkatia tiketi ya ndege tu
Watu 5, na ni route ndefu nya kufika mpaka Serengeti. Ingekuwa safari ya kawadia sawa ndege ingelipa.Umeshajiuliza kama ni safari ya familia atalipia watu wangapi?
Hi,
Naomba msaada kwa anayefahamu. Naomba kufahamu roughly ni Diesel/Petrol kiasi gani naweza kutumia kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kwa kutumia Gari lenye Engine Capacity (cc) 3000. Aina ya Gari ni LAND CRUISER 200 VX Wagon V8 DIESEL AUTOMATIC 4WD.
NB NAHIYTAJI UHALISIA NA UZOEFU ZAIDI KULIKO SCIENCE NA SPECIFICATION, kwani hili gari fuel economy yake kutokwa kwa manufacturer inapokuwa kwenye hali yaje mzuri bila ya uchakavu ni 9.5L/100km inamaana inakula lita 1 kwa kila kilomita 10.5.
ZINGATIA KUWA GARI HILI LINA UMRI WA MIAKA 5 TU. PIA CHUKULIA UMBALI KUTOKA DAR MPAKA MWANZA NI KILOMITA 1150. ASANTENI
Kumbe unafanya utalii wa ndani, bravo enjoy maisha mkuu.Watu 5, na ni route ndefu nya kufika mpaka Serengeti. Ingekuwa safari ya kawadia sawa ndege ingelipa.