tusipotoshane
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 730
- 693
Kwa tathimini niliyoifanya katika majiji ya Dar es Salaam,Mwanza na Arusha mwitikio wa wananchi kuacha kutumia rambo ni mkubwa sana.Kwa hii kampeni,Serikali imefanikiwa na itafanikiwa zaidi.
Kinachotakiwa elimu ya mazingira iwafikie wananchi maeneo yote ya nchi sio walioko mijini tu,hata wa vijijini.
Wana Jf,hebu tupeni tathimini yetu katika maeneo mliyopo.
Hongera Serikali,mifuko ya Rambo lilikuwa janga la uharibifu wa mazingira.
Baada ya kampeni hii kufanikiwa,naomba Serikali yetu kufanya yafuatayo;
1. KUPIGA MARUFUKU MAWIGI KWANI NA YENYEWE NI JANGA LA MAZINGIRA.
2. HAYAOZI KABISA NA KUATHIRI VIUMBE HAI WA ARDHINI.
3. YANATOA HARUFU MBAYA YANAPOVALIWA NA KUATHIRI WENGINE.
4. WAVAAJI MUDA MWINGI WANAJIKUNA KUNA KWANI YANATUNZA UCHAFU.
5. YANASABABISHA UMBA VICHWANI.
6. GHARAMA KUBWA HUTUMIKA NA KUATHIRI UCHUMI WA FAMILIA NA MIZOZO KUTOKEA.
7. RASILIMALI MUDA HUTUMIKA VIBAYA WAKATI WA KUWEKA NA KUYAFUMUA.
8. YANABADILI SURA ZA DADA/MAMA ZETU KUTOKUWA ASILIA NA WANAPOYAVUA HUSABABISHA UVUNJIVU WA AMANI KWA WAPENZI KUTALIKIANA,HASA "ME"WENGI HUDAI WALIKOSEA KUCHAGUA.
9. YANAADHIRI UFANYAJI KAZI KWA UFANISI KWA MVAAJI KWANI MENGINE YANAPOVALIWA YANAKUWA NA UZITO ZAIDI YA KILO 2.
10. YANASABABISHA KINYAA KWA WANAUTOA HUDUMA ZA CHAKULA KWA SABABU MUDA MWINGI MVAAJI HUJIKUNA NA KUSABABISHA WATEJA KUTOTAKA HUDUMA NA KUMWATHIRI ALIYEWEKEZA.
11. HUSABABISHA KANSA YA UBONGO/NGOZI KWA MATUMIZI YA MADAWA YANAYOTUMIWA NA WAVAA MAWIGI.
12. YANALETA USUMBUFU KWA WATU WENGINE HASA USAFIRI WA UMMA KWA SABABU MAWIGI MENGINE YAMACHUKUA NAFASI KUBWA MITHILI YA MBUNI.
13. MAWIGI YANAONDOA UTU WA DADA/MAMA ZETU KUTUMIA NYWELE ZA WATU WA NJE AIDHA WAFU AU HAI KWANI SISI WENGINE TUNAWAPENDA ZAIDI WABAPOKUWA HAWAJAVAA HIYO MIAVULI BANDIA.
Nawasilisha Wakuu,karibuni mtoe mawazo kuisaidia Serikali yetu katika kupambana ili kuzuia uharibifu wa mazingira.
SERIKALI/NEMC HONGERENI SANA.
Kinachotakiwa elimu ya mazingira iwafikie wananchi maeneo yote ya nchi sio walioko mijini tu,hata wa vijijini.
Wana Jf,hebu tupeni tathimini yetu katika maeneo mliyopo.
Hongera Serikali,mifuko ya Rambo lilikuwa janga la uharibifu wa mazingira.
Baada ya kampeni hii kufanikiwa,naomba Serikali yetu kufanya yafuatayo;
1. KUPIGA MARUFUKU MAWIGI KWANI NA YENYEWE NI JANGA LA MAZINGIRA.
2. HAYAOZI KABISA NA KUATHIRI VIUMBE HAI WA ARDHINI.
3. YANATOA HARUFU MBAYA YANAPOVALIWA NA KUATHIRI WENGINE.
4. WAVAAJI MUDA MWINGI WANAJIKUNA KUNA KWANI YANATUNZA UCHAFU.
5. YANASABABISHA UMBA VICHWANI.
6. GHARAMA KUBWA HUTUMIKA NA KUATHIRI UCHUMI WA FAMILIA NA MIZOZO KUTOKEA.
7. RASILIMALI MUDA HUTUMIKA VIBAYA WAKATI WA KUWEKA NA KUYAFUMUA.
8. YANABADILI SURA ZA DADA/MAMA ZETU KUTOKUWA ASILIA NA WANAPOYAVUA HUSABABISHA UVUNJIVU WA AMANI KWA WAPENZI KUTALIKIANA,HASA "ME"WENGI HUDAI WALIKOSEA KUCHAGUA.
9. YANAADHIRI UFANYAJI KAZI KWA UFANISI KWA MVAAJI KWANI MENGINE YANAPOVALIWA YANAKUWA NA UZITO ZAIDI YA KILO 2.
10. YANASABABISHA KINYAA KWA WANAUTOA HUDUMA ZA CHAKULA KWA SABABU MUDA MWINGI MVAAJI HUJIKUNA NA KUSABABISHA WATEJA KUTOTAKA HUDUMA NA KUMWATHIRI ALIYEWEKEZA.
11. HUSABABISHA KANSA YA UBONGO/NGOZI KWA MATUMIZI YA MADAWA YANAYOTUMIWA NA WAVAA MAWIGI.
12. YANALETA USUMBUFU KWA WATU WENGINE HASA USAFIRI WA UMMA KWA SABABU MAWIGI MENGINE YAMACHUKUA NAFASI KUBWA MITHILI YA MBUNI.
13. MAWIGI YANAONDOA UTU WA DADA/MAMA ZETU KUTUMIA NYWELE ZA WATU WA NJE AIDHA WAFU AU HAI KWANI SISI WENGINE TUNAWAPENDA ZAIDI WABAPOKUWA HAWAJAVAA HIYO MIAVULI BANDIA.
Nawasilisha Wakuu,karibuni mtoe mawazo kuisaidia Serikali yetu katika kupambana ili kuzuia uharibifu wa mazingira.
SERIKALI/NEMC HONGERENI SANA.