Wakuu kwanza kabisa nawasalimu wote. Habari za asubuhi
Okay, turudi kwenye mada.
Wakuu kuna hili suala ambalo nimekua nikijiuliza na kuuliza baadhi ya watu lakini bado sijapata majibu.
Iko hivi; endapo ikitokea mtu akafariki na kwa bahati alikua ana akiba ya fedha labda kwenye akaunti ya bank au kwenye akaunti hizi za mitandao ya simu.
Je, ni utaratibu gani ambao unatakiwa kufuatwa na ndugu wa marehemu ili kupata hizo fedha?
Nawasilisha.
Okay, turudi kwenye mada.
Wakuu kuna hili suala ambalo nimekua nikijiuliza na kuuliza baadhi ya watu lakini bado sijapata majibu.
Iko hivi; endapo ikitokea mtu akafariki na kwa bahati alikua ana akiba ya fedha labda kwenye akaunti ya bank au kwenye akaunti hizi za mitandao ya simu.
Je, ni utaratibu gani ambao unatakiwa kufuatwa na ndugu wa marehemu ili kupata hizo fedha?
Nawasilisha.