Trendz
Senior Member
- Jun 27, 2021
- 125
- 181
- Thread starter
- #21
Watafute jamaa hawa wakuuzie hii ramani. Inakula slab ndogo.
View attachment 1930988
Shukran sana, niliwaona instagram
Watafute jamaa hawa wakuuzie hii ramani. Inakula slab ndogo.
View attachment 1930988
Habarini za saa hizi wana JF,
Nina mawazo ya kujenga shambani kwangu lakini ni kighorofa cha floor moja tu ambapo juu nitaweka Master bedroom, ofisi na balcon tu kwa ajili yangu na mke wangu ila watoto na wageni watalala upande wa chini
Sasa nilikuwa naomba kujua gharama za kupandisha slab na zile nguzo zake pamoja na beam yaani (skeleton structure) yote inaweza kufika kiasi gani?
Shukrani ...
Hizi ni gharama za ufundi au?!!!
Hivyo vyumba vya chini ujue ndo vyumba vyako na mkeo mkizeeka.Then watoto watapanda ghorofaniHabarini za saa hizi wana JF,
Nina mawazo ya kujenga shambani kwangu lakini ni kighorofa cha floor moja tu ambapo juu nitaweka Master bedroom, ofisi na balcon tu kwa ajili yangu na mke wangu ila watoto na wageni watalala upande wa chini
Sasa nilikuwa naomba kujua gharama za kupandisha slab na zile nguzo zake pamoja na beam yaani (skeleton structure) yote inaweza kufika kiasi gani?
Shukrani ...
Kwa framed structure (Beams,slabs,column) utatumia approx 50M.Lkn hii itategemea na michoro yako ikoje,mkoa/ mahali unapojenga, wataalamu utakaowatumia,lkn pia kubadilika kwa gharama za materialsJuu pekee inaweza tu kuwa mita 8 kwa 8, ila chini inafika mita 10 kwa 15
Ukihitaji maelezo zaidi nicheki Pm nikupe uzoefu. Kwa framed structure (Beams,slabs,column) utatumia approx 50M.Lkn hii itategemea na michoro yako ikoje,mkoa/ mahali unapojenga,wataalamu utakaowatumia,lkn pia kubadilika kwa gharama za materials
8x8=64
64×325,000=ndio jibu lako
karibu
Hao wataalamu wa makadirio ukiwafuata sana kujenga kutakushindaKasema sqm 1 ya slab kupiga ni Tsh 325000
Kwa mimi nataka ukubwa wa mita 8 kwa 8 inamaana ni sqm 64
Ndio hapo imefika
Kanyumba katamu haka.Watafute jamaa hawa wakuuzie hii ramani. Inakula slab ndogo.
View attachment 1930988
Duh, Sio mchezo!Kasema sqm 1 ya slab kupiga ni Tsh 325000
Kwa mimi nataka ukubwa wa mita 8 kwa 8 inamaana ni sqm 64
Ndio hapo imefika
Lakini ukiweka hesabu zako kikamilifu utaona wako sahihi.Hao wataalamu wa makadirio ukiwafuata sana kujenga kutakushinda
Kwa standards za kawaida, suspended slab inakuwa na thickness ya 0.125m.Habarini za saa hizi wana JF,
Nina mawazo ya kujenga shambani kwangu lakini ni kighorofa cha floor moja tu ambapo juu nitaweka Master bedroom, ofisi na balcon tu kwa ajili yangu na mke wangu ila watoto na wageni watalala upande wa chini.
Sasa nilikuwa naomba kujua gharama za kupandisha slab na zile nguzo zake pamoja na beam yaani (skeleton structure) yote inaweza kufika kiasi gani?
Shukrani...
Kwa standards za kawaida, suspended slab inakuwa na thickness ya 0.125m.
8x8x.125 = 8 cubic meters of concrete.
Ambayo ni kama mifuko 70 ya cement.
7 cubic meters za kokoto.
4 cubic meters za mchanga.
Hii ni kama concrete ni M20 na ujatoa space ya ngazi (ngazi zipo kwa nje).
Steel kwenye suspended slab inatakiwa 80kg/cubic meter.
Kwenye 8 cubic meters utahitaji 640kg of steel (price index ya steel ni appr. 1000$/tonne).
Slab peke yake itakugharimu kama milioni 5 au 6.
Usisahau mabomba ya wiring.
Mkuu, Hapo kwenye "bolded words". Nimeelewa kama Floor slab yenye SQM 64 itamgharimu milioni 5-6. Nimeelewa sahihi.?Kwa standards za kawaida, suspended slab inakuwa na thickness ya 0.125m.
8x8x.125 = 8 cubic meters of concrete.
Ambayo ni kama mifuko 70 ya cement.
7 cubic meters za kokoto.
4 cubic meters za mchanga.
Hii ni kama concrete ni M20 na ujatoa space ya ngazi (ngazi zipo kwa nje).
Steel kwenye suspended slab inatakiwa 80kg/cubic meter.
Kwenye 8 cubic meters utahitaji 640kg of steel (price index ya steel ni appr. 1000$/tonne).
Slab peke yake itakugharimu kama milioni 5 au 6.
Usisahau mabomba ya wiring.
Hiyo ni gharama ya "slab" (suspended).Mkuu, Hapo kwenye "bolded words". Nimeelewa kama Floor slab yenye SQM 64 itamgharimu milioni 5-6. Nimeelewa sahihi.?
Nimefuatlia huu uzi huko nyuma kuna comments za wananzengo gharama zinatisha sana!
Umeifanunua vizuri sana. Ninakushukuru ndg yangu!.Hiyo ni gharama ya "slab" (suspended).
Gharama ya "Frame" inajumuisha
I. Excavation.
II. Zege na rebars (steel) kwa ajili ya
a. Footings.
b. Columns
c. Beams.
d. Slab (ground floor).
e. Stairs.
Roughly (except for excavation) kila step itakugharimu 4 to 6m. kwa hiyo frame pekee ya jengo la ukubwa huo roughly kwa kutumia "Thumb rule" itakugharimu 20 to 30 million Tsh.
Jamaa aliesema 325,000/- per SQM yupo sahihi.