Tajiri wa ubwbwa
Member
- Sep 19, 2023
- 8
- 7
Heshima kwenu wakubwa zangu, mimi ni kijana wa miaka 19 nimemaliza kidato cha nne 2023, bahati mbaya sikufaulu kuendelea kidato cha 5, nikaamua niombe kusoma chuo cha veta kozi ya Welding and Fabrication.
Baada ya kufanya maombi na mtihani, wamenipangia kusoma FITTER MECHANICS, mimi napenda mambo ya Fabrication sana. Je, kwenye hii kozi ya FITTER MECHANICS inafundishwa na Fabrication na weldings?
Asante yoyote atakaenisaidia
Baada ya kufanya maombi na mtihani, wamenipangia kusoma FITTER MECHANICS, mimi napenda mambo ya Fabrication sana. Je, kwenye hii kozi ya FITTER MECHANICS inafundishwa na Fabrication na weldings?
Asante yoyote atakaenisaidia