Naomba kuelimishwa juu ya .co.tz na .com

Naomba kuelimishwa juu ya .co.tz na .com

Fede Masolwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
529
Reaction score
123
Habari!

Naomba kuelewesha vitu hivi kwa utofauti, katika utendaji kazi, usalama wa mfumo, gharama za kuendesha...n.k

Asanteni kwani naona website zikiwa hivyo, nipo njiani kufungua nami for coy.
 
com zote ni business oriented na .tz ni za government yan org za government. so for ur case utafungua .com
 
com zote ni business oriented na .tz ni za government yan org za government. so for ur case utafungua .com
Wacha kudanganya, .tz Ni kwa mtu yoyote wa Tanzania, iwe mtu binafsi, kampuni nk nk. .com Ni global hivyo inatumika popote duniani.
 
.co for business, .com for communication. Hii ni kulingana na mwalimu wangu wa MG100.
 
Wacha kudanganya, .tz Ni kwa mtu yoyote wa Tanzania, iwe mtu binafsi, kampuni nk nk. .com Ni global hivyo inatumika popote duniani.

Mange Kimambi ya kwake inaitwa U-turn.co.tz na anaishi America inakuwaje hapo mkuu? usijibu kirahisi tunahitaji kueleweshwa.
 
Habari!

Naomba kuelewesha vitu hivi kwa utofauti, katika utendaji kazi, usalama wa mfumo, gharama za kuendesha...n.k

Asanteni kwani naona website zikiwa hivyo, nipo njiani kufungua nami for coy.

Hakuna utofauti katika utendaji wa kazi tovuti zinafanya kazi sawa. Utofauti wa domain names katika .com na .Co.tz ni kwamba .com ni universal communication calling na .Co.tz hii inajuza kwamba domain hii inarepresent Tanzania katika kazi zake kwa mfano .org inarepresent organisation .eu inarepresent Europe n.k
 
Hakuna utofauti katika utendaji wa kazi tovuti zinafanya kazi sawa. Utofauti wa domain names katika .com na .Co.tz ni kwamba .com ni universal communication calling na .Co.tz hii inajuza kwamba domain hii inarepresent Tanzania katika kazi zake kwa mfano .org inarepresent organisation .eu inarepresent Europe n.k

Asante mkuu, Gharama za uendeshaji wake na zaidi kama unajua mkuu, Asante.
 
..com Hii ni universal hajalishi website yako ni ya biashara au si ya kibiashara ,lakini .co.tz hii inaonyesha the originality ya domain yako kuwa ni Tanzania lakini pia Mara nyingi ina create direct attention kwa visitors wako kuwa the products/services unazotoa ziko related au based in Tanzania . lakin kwa .com hiyo ni globally
 
Mange Kimambi ya kwake inaitwa U-turn.co.tz na anaishi America inakuwaje hapo mkuu? usijibu kirahisi tunahitaji kueleweshwa.

Tofauti yao ni .com ni worldwide mtu hawezi kujua hiyo web ipo based wapi lakini .tz au .ke au .uk au .ug inakuwa rahisi mtu kuelewa kuwa hii web/org/co ipo based let say Tanzania au UK. Nahisi nimeeleweka
 
Habari!

Naomba kuelewesha vitu hivi kwa utofauti, katika utendaji kazi, usalama wa mfumo, gharama za kuendesha...n.k

Asanteni kwani naona website zikiwa hivyo, nipo njiani kufungua nami for coy.



IPO hivi boss

.com means commercial and this domain is globally so anyone can use mostly for commercial

.co.tz means commercial in tz(Tanzania) hii inatangaza nchi pia,that's why unaweza ona za .co.ke,.co.ug,.co.UK

.org means organization its a global domain

.or.tz mearns organization in Tanzania.

.org na .or.tz hutumiwa na mashirika like NGO ,hushauriwi kama unataka website ya NGO kutumia .com domain names

.ac.tz or .ac.ude or .ac.uk hz ni for academic institutions like vyuo,sasa kujua Chuo kipo wapi unajua by .tz means Tanzania,.uk means united kingdom


Kwa secondary schools and other schools like nursery and primary Kwa Tanzania tunatumia domain hii ya .sc.tz ,sc stands for school

For broadcasting domain inayotumiaka ni .tv BT not limited to .com

So ITV pale wanaweza wakawa na domain zaid ya moja una redirects tu.


Kwa Mtaalamu wa website developer anatakiwa akushaur aina ya domain kulingana na matumiz ya website yako

Makosa yanayotendeka ni MTU ana website ya Chuo ila iko hosted Kwa .co.tz or .com domain hii kitaalam haishauriwi,inayotakiwa ni .ac.tz

Una website ya kituo cha kulea watoto yatima nk usitumie .com au .co.tz hapo unatumia .org au .or.tz

Hopefully umenielewa,

Any question regarding Development either website or applications don't hastate,shoot.
 
Mange Kimambi ya kwake inaitwa U-turn.co.tz na anaishi America inakuwaje hapo mkuu? usijibu kirahisi tunahitaji kueleweshwa.

anatumia .tz kwa lengo la kuipromote blog yake kwa watz na kuitangaza nchi yake pia!
 
Jcoder upo sahihi, ndivyo ilivyo.., labda kuongezea ni kuwa .tz ndo ipo na slots nyingi zaidi kwa kwetu hapa coz ni inatumika na watz pekee, muda mwingine mtu ana company yake mf. sauli, akiangalia domain ya .com tayari ipo, coz ni worldwide, but .co.tz ipo free so inakua rahis with .co.tz

ila Jasnira sijakuelewa mkuu
 
Last edited by a moderator:
..com Hii ni universal hajalishi website yako ni ya biashara au si ya kibiashara ,lakini .co.tz hii inaonyesha the originality ya domain yako kuwa ni Tanzania lakini pia Mara nyingi ina create direct attention kwa visitors wako kuwa the products/services unazotoa ziko related au based in Tanzania . lakin kwa .com hiyo ni globally

Asante mkuu, umenipa mwanga, so operations cost na benefit kwa .co.tz unawezajua, asante!
 
Asante mkuu, umenipa mwanga, so operations cost na benefit kwa .co.tz unawezajua, asante!

www.nic.co.tz

pia kwa kuwekea mkazo ni kwamba kila nchi duniani ina domain extension na unapoona

.com ujue hiyo ni Domain extension kwa US or commercial na pale inapotumika
.tz ujue hiyo ni domain extension kwa TANZANIA
 
IPO hivi boss

.com means commercial and this domain is globally so anyone can use mostly for commercial

.co.tz means commercial in tz(Tanzania) hii inatangaza nchi pia,that's why unaweza ona za .co.ke,.co.ug,.co.UK

.org means organization its a global domain

.or.tz mearns organization in Tanzania.

.org na .or.tz hutumiwa na mashirika like NGO ,hushauriwi kama unataka website ya NGO kutumia .com domain names

.ac.tz or .ac.ude or .ac.uk hz ni for academic institutions like vyuo,sasa kujua Chuo kipo wapi unajua by .tz means Tanzania,.uk means united kingdom


Kwa secondary schools and other schools like nursery and primary Kwa Tanzania tunatumia domain hii ya .sc.tz ,sc stands for school

For broadcasting domain inayotumiaka ni .tv BT not limited to .com

So ITV pale wanaweza wakawa na domain zaid ya moja una redirects tu.


Kwa Mtaalamu wa website developer anatakiwa akushaur aina ya domain kulingana na matumiz ya website yako

Makosa yanayotendeka ni MTU ana website ya Chuo ila iko hosted Kwa .co.tz or .com domain hii kitaalam haishauriwi,inayotakiwa ni .ac.tz

Una website ya kituo cha kulea watoto yatima nk usitumie .com au .co.tz hapo unatumia .org au .or.tz

Hopefully umenielewa,

Any question regarding Development either website or applications don't hastate,shoot.

Asante sanaa mkuu, nimeshiba vizuri sana.

so unaweza nielekeza website developer mzuri mwenye cost nafuu, pia napenda kujua kuna cost zozote utakazo lipia kwa mwezi au mwaka n.k? baada ya kuanza ku -run .co.tz

Asante sanaa.
 
Back
Top Bottom