Lavie
Member
- Apr 3, 2012
- 60
- 15
Je, kama serikali ya magamba ikitumia ubabe kutufukuza kazi walimu tuliogoma, je, hatua za kuchukua ni zipi? Na pia mshahara wa mwezi huu hadi sasa haujatoka huku kwetu, je, hawawezi hawa madhalimu kuuzuia kama kutukomoa, au sheria inasemaje? Naomba mwenye uelewa anieleweshe tafadhali.