Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,193
- 5,123
kesho nataka niende pale kwenye ofisi za bodi ya mikopo nikaulize kunanini maana nilikosa mkopo mwaka jana kiasi cha kupelekea kushindwa kuendelea na masomo na tena mwaka huu nina kosa mchana kweupeeeeee dah aseeeee vyuo vya serikali visingekuwa na ngekewa ya lete hela toa hela hela ingesaidia wengine na mm hata kulipa kidogo kidogo.mwaka mzima .🤔🤔🤔🤔🤔yalikukuta yepi mkuu