LellozWho
Member
- Jul 13, 2021
- 89
- 121
Habari..!
Nimeingia kwenye real estate mwaka huu.
Naamini wengi wenye ujuzi mtanielewesha juu ya hili.
Nina property moja imenipatia ukakasi sana hasa upande wa ufundi.
Kila nikihitaji fundi aje kunipatia gharama yake ya ufundi na mahitaji ya kazi Basi inanilazimu nimlipe.
YANI YEYE AJE KUONA KAZI, ANATAKA ALIPWE.
Na ile nadharia ya kutangaza tender ili upate kuona best offer hapa inafanyaje kazi?
Naomba ufaham tafadhali.
Na kwasasa nahitaji fundi wa
fitting for a kitchen cabinets
Frame na milango (4)
Na vingine kadhaa.
Lakini kikubwa kwasasa nahitaji fundi apime na anipatie estimation za jiko.
Wazo lolote litasaidia.
Nimeingia kwenye real estate mwaka huu.
Naamini wengi wenye ujuzi mtanielewesha juu ya hili.
Nina property moja imenipatia ukakasi sana hasa upande wa ufundi.
Kila nikihitaji fundi aje kunipatia gharama yake ya ufundi na mahitaji ya kazi Basi inanilazimu nimlipe.
YANI YEYE AJE KUONA KAZI, ANATAKA ALIPWE.
Na ile nadharia ya kutangaza tender ili upate kuona best offer hapa inafanyaje kazi?
Naomba ufaham tafadhali.
Na kwasasa nahitaji fundi wa
fitting for a kitchen cabinets
Frame na milango (4)
Na vingine kadhaa.
Lakini kikubwa kwasasa nahitaji fundi apime na anipatie estimation za jiko.
Wazo lolote litasaidia.