Naomba kueleweshwa kuhusu Iphone 6 na Iphone 6 plus

Naomba kueleweshwa kuhusu Iphone 6 na Iphone 6 plus

Bin Chuma75

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2012
Posts
1,002
Reaction score
1,092
Habarini wakuu

Naomba wenye ufahamu wa hizi simu za I phone 6 na 6plus. Matatizo yake common ni nini na ubora wake ni upi na tofauti ya hizo model nini? Naomba kujua kabla sijahesabu mpunga wakuu
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Karibu san ndugu ulimwengu wa Apple..! In short ni simu nzuri na utaifurahia sana kwa vityu vingi na vya kiutofauti kabisa na android yapo mengi sana mazuri pia ukijifadhi document zako mule zinakuwa safe dhan other fone So nakushauri ununue iphone utaipenda na pia ukihitaji masaada zaidi njo PM ntakuelekeza kaka
 
Karibu san ndugu ulimwengu wa Apple..! In short ni simu nzuri na utaifurahia sana kwa vityu vingi na vya kiutofauti kabisa na android yapo mengi sana mazuri pia ukijifadhi document zako mule zinakuwa safe dhan other fone So nakushauri ununue iphone utaipenda na pia ukihitaji masaada zaidi njo PM ntakuelekeza kaka
Ndizo ziliwaacha utupu ana Kadarshian na mastaa kibao,hakuna kitu salama dunia ya sasa zote ni promo tu
 
Karibu san ndugu ulimwengu wa Apple..! In short ni simu nzuri na utaifurahia sana kwa vityu vingi na vya kiutofauti kabisa na android yapo mengi sana mazuri pia ukijifadhi document zako mule zinakuwa safe dhan other fone So nakushauri ununue iphone utaipenda na pia ukihitaji masaada zaidi njo PM ntakuelekeza kaka

Ahsante nakuja
 
Habarini wakuu

Naomba wenye ufahamu wa hizi simu za I phone 6 na 6plus. Matatizo yake common ni nini na ubora wake ni upi na tofauti ya hizo model nini? Naomba kujua kabla sijahesabu mpunga wakuu
Wala usijishauri kununua mkuu, Apple ndo wenyewe kwenye suala la kutengeneza simu zilizo na ubora maana wao huwa wanatengeneza high end phone tu, ila kama ulizoea kutumia Android phones mara ya kwanza itakupa shida kidogo ila ukishaizoea mambo murua kabisa no lag no crash
 
Wala usijishauri kununua mkuu, Apple ndo wenyewe kwenye suala la kutengeneza simu zilizo na ubora maana wao huwa wanatengeneza high end phone tu, ila kama ulizoea kutumia Android phones mara ya kwanza itakupa shida kidogo ila ukishaizoea mambo murua kabisa no lag no crash

Ahsante mkuu
 
Apple kutam jamani ata uwe una watch video gizani ukitoka nje unaona kawaid hahaha jarbu ivo kwa android uone ka ukitoka nje uja mfananisha boY as a girl and ice versa mambo ya retina display ayo naalie sema swala la kina kim karadShian yy ana uhakika gan kama izo documments zai zilibiwa zkiw kwenye iphone al annasume Mastaa wote wanatunia Apple hha
 
Apple kutam jamani ata uwe una watch video gizani ukitoka nje unaona kawaid hahaha jarbu ivo kwa android uone ka ukitoka nje uja mfananisha boY as a girl and ice versa mambo ya retina display ayo naalie sema swala la kina kim karadShian yy ana uhakika gan kama izo documments zai zilibiwa zkiw kwenye iphone al annasume Mastaa wote wanatunia Apple hha
Mhhhh,... Mkuuu una uhakika gan na usalama wa iphone while china washapenetrate iyo apple!!!! Pia washatengeneza hardware za kuweza kutoa lock
 
Mhhhh,... Mkuuu una uhakika gan na usalama wa iphone while china washapenetrate iyo apple!!!! Pia washatengeneza hardware za kuweza kutoa lock

najua ivo vitu zaid ata unavo hisi io mashine unayo isema wewe haitoi loki inaitwa ic programer tool machine ina husika na issue za ku read data kufix blocks kwenye HDD zilizo corrupt na error mbalmbal ku write S/N na imei kwenye Nanda chip nK.. usa
lama upo saana na io icloud ukisha itoa jua data ztaftika ndo itoke ni ngum sana kutoa icloud uk data zbak ad u unlock data zina kuaga erased ko unakuta kitu aina data zote but securement Apple wapo vzur zaid nasaiv pia kuna njia inaitwa Nand exploit unatoa icloud kwakutumia setup.app ilo kuwa patched {hii wanaita kurestore CFW} una ngoa icloud but Inakua haina service amean line haisomi only wifi tu na wAy ipo applicable kwa iphone 5'Generations na baadh ya 6 Genetations kk bob
 
Zaidi ya camera nzuri, simu za Samsung hazina zinachoifikia iphone.
Iphone is a productivity phone, highly customizable between hardware and software.

wambie utamu wa iphone hao Af pia mwenye iPad,mcbook,imack,iwatch,imack kasoro iphone narudia tena kasoro iphone mm natoa icloud within 2hrs remotely 100% ka una kaz lete
 
giphy.gif


Sent from mTalk
 
Wala hujakosea mkuu unatumiaga castle? Taja ya pili ni ipi nikupe na konyagi bapa kabisa

Sent from mTalk
 
Acha kudanganya watu mkuu, unataka kuniambia kuwa una uwezo wa kupenetrate server za Apple!?

kaka kama una device yoyote nlotaja apo juu noomba chuku namba hii 0765096851 ni tafte tufanye kaz na mm co chizi mpaka niandike kitu kama ichi inamaananina uhakika aslimia 100% tafadhr naomba uni heshmu tu kama una kazi lete ko Aple ndo wamekua Miungu izo seva zao hazitikisiki
 
Acha kudanganya watu mkuu, unataka kuniambia kuwa una uwezo wa kupenetrate server za Apple!?

na uc cho kiweza wewe co watu wote hawakiwezz

*The biggest mistake u can do in this Life if to Give up*
 
kaka kama una device yoyote nlotaja apo juu noomba chuku namba hii 0765096851 ni tafte tufanye kaz uc n chafulie jina cjawai ibia mtu ata shilingi moja na mm co chizi mpaka niandike kitu kama ichi inamaananina uhakika aslimia 100% tafadhr naomba uni heshmu tu kama una kazi lete ko Aple ndo wamekua Miungu izo seva zao kazi tikisiki nakama unataka nikuoneshe proove cheki iizipichaapa
1806bcbd1fe448740a96c9ea21474c07.jpg
6f65deb110ac4781ecae6da01180685c.jpg
Mkuu acha utapeli maana ni kosa, hizi picha sio kishawishi kwangu hata kidogo, maana hata mimi naweza nikatengeneza picha kama hizi, si napiga screen shot wakati device ikiwa locked na icloud halafu naweka icloud off kwa kuweka password kisha nascreen shot tena, ungeniambia unaweza kutoa pass code lock hapo ningekubaliana na wewe lakini icloud lock hapo hujanishawishi hata kidogo, geeks wa hii dunia wanahangaika na icloud, ni CIA tu na akina Snowden wanaweza kuhangaika na icloud lakini sio type yako unless uwe hujui icloud maana yake ni nini!
 
Naomba kufahamishwa nashindwa ku jailbreak 5s yangu mnielekeze hatua kwa hatua.
Pia naomba kabla nifahamishwe kuhusu data je zinafutwa au zinabaki wakati wa process ya jailbreak?
Shukran.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Back
Top Bottom