Ni kweli, lakini chapa hii inachukua kisehemu kidogo sana, pia sijui kwanini serikali imeamua kufanya hivi, tena kwa msisitizo mkubwa kiasi hicho, kwani kuna sehemu nilienda nikakutana na baadhi ya wafugaji ambao hawajapiga chapa, wakawa wananiambia wameambiwa walipe faini mil2 au kifungo jera.