Bhakusyobhile
Member
- Aug 1, 2018
- 71
- 210
Wasambazaji wa mbolea (YARA),wapo maeneo gani pale kurasini,? Je nikiwa k/koo gerezani nipite njia ipi ili niweze kufika.?
0762 311 700 mpigie huyo mtu wao wa masokoWasambazaji wa mbolea (YARA),wapo maeneo gani pale kurasini,? Je nikiwa k/koo gerezani nipite njia ipi ili niweze kufika.?
Huyo mtu ulie pewa namba hawez kukuelekeza? Au ni kitu gani kingine unatafutaSina shida na yara,ila kuna kitu nakifuata jirani na hapo yara,so nahitaji maelekezo jinsi ya kufika hayo maeneo






Huyo mtu ulie pewa namba hawez kukuelekeza? Au ni kitu gani kingine unatafuta
😀ont folo folo me wizout ene bikoz:
bado hujaelewa ninacho kihitaji mkuu..ok asante kwa kuchangia.Mzee zingatia Matumizi ya google Navigator. Unaweza kwenda sehemu yoyte duniani
Siyakukothamela Sonini na nini