Maji ni ya mamlaka ya maji mkoani hapa, lengo la kuuliza ni kwamba mwezi uliopita sikupewa bill nilipokwenda kuidai ili nilipie wakadai msomaji wao bado hajapeleka ofisini alichosoma kwenye mita!Hadi sasa bado sijaletewa bill.Kwanza muulize anayekuuzia maji anakuuzia mita moja kwa tsh ngapi? Kisha tutakusaidia kuzidisha kwa hiyo 13
Unit moja ni 1650, sasa hapa ni ngumu kujua kama hizo unit 13 ni toka uanze kutumia mita au la!, maana mfano saa hivi ikisoma 13 mwezi ujao ikasoma 19 utachukua 19-13 utapata 6 ina maana umetumia unit 6 na 6 mara 1650 jawabu utakalopata ndilo deni.Maji ni ya mamlaka ya maji mkoani hapa,lengo la kuuliza ni kwamba mwezi uliopita sikupewa bill nilipokwenda kuidai ili nilipie wakadai msomaji wao bado hajapeleka ofisini alichosoma kwenye mita! Hadi sasa bado sijaletewa bill.
Mita ni mpya, namaanisha ni eneo jipya kuwekewa maji. Ndiyo maana hata nilipokwenda walidai msomaji hajaleta bill za maunganisho mapya!unit moja ni 1650, sasa hapa ni ngumu kujua kama hizo unit 13 ni toka uanze kutumia mita au laha maana mfano saa hivi ikisoma 13 mwezi ujao ikasoma 19 utachukua 19-13 utapata 6 ina maana umetumia unit 6 na 6 mara 1650 jawabu utakalopata ndilo deni.
Maji ni ya mamlaka ya maji mkoani hapa,lengo la kuuliza ni kwamba mwezi uliopita sikupewa bill nilipokwenda kuidai ili nilipie wakadai msomaji wao bado hajapeleka ofisini alichosoma kwenye mita!Hadi sasa bado sijaletewa bill
Asante kwa ushauri!Nimekuja hapa jukwaani kwa sababu nilipokwenda waliniambia kuwa kwa kuwa ni maunganisho mapya niende kwenye ofisi moja pale wanitengenezee control number ambayo niliweka sh.5000/ Kama kianzio wakidai ni kwa muda huu bado nasubiria billTulia hadi siku wakikuletea bill hata ikiwa kubwa utailipa kidogo kidogo kwa kadri utakavyoweza kwasababu sio kosa lako ni lao.
Asante kwa ushauri!Nimekuja hapa jukwaani kwa sababu nilipokwenda waliniambia kuwa kwa kuwa ni maunganisho mapya niende kwenye ofisi moja pale wanitengenezee control number ambayo niliweka sh.5000/ Kama kianzio wakidai ni kwa muda huu bado nasubiria bill
Ndugu wanaJF,
Ninaomba mwenye ujuzi wa kusoma mita za maji anijuze. Yangu imeandika 13 mita za ujazo! Hivi gharama kwa mita moja ya ujazo ni shilingi ngapi?
NINAOMBA MSAADA WENU WADAU
[/QU
Kusoma mita rahisi tu inaaanza na masifuri 00000, 00001 na kuendelea.Kwahiyo uwe unaangalia siku anayokuja msoma mita unaangalia unaweka kwenye kumbukumbu.
Mfano mwezi huu namba zikasoma 00020,mwezi ujao zikasoma 00031.
Unachukua 31-20= 11 Units ndiyo yatakuwa matumizi yako kwa mwezi huo.
Kumbuka mita huwa hairudi nyuma inaenda mbele tu mpaka maelfu.
Kwahiyo itagemea na mamlaka wanaauzaje kwa unit moja Kama Ni sh 600
Chukua 11XTsh 600=6600Tsh
Utamsaidiaje tena wakati umemaliza kila kitu mkuu?Kwanza muulize anayekuuzia maji anakuuzia mita moja kwa tsh ngapi? Kisha tutakusaidia kuzidisha kwa hiyo 13
basi zitakuwa hizo hizo units so zidisha mara 1650 utakachopata ndo den lakoMita ni mpya, namaanisha ni eneo jipya kuwekewa maji. Ndiyo maana hata nilipokwenda walidai msomaji hajaleta bill za maunganisho mapya!
chukua 13units×1650tsh=21,450TshNdugu wanaJF,
Ninaomba mwenye ujuzi wa kusoma mita za maji anijuze.
Yangu imeandika 13 mita za ujazo! Hivi gharama kwa mita moja ya ujazo ni shilingi ngapi?
NINAOMBA MSAADA WENU WADAU
Siwezi tena kumuelekezaUtamsaidiaje tena wakati umemaliza kila kitu mkuu?
Yaani mwanafunzi umemuonesha majibu kisha unampatia mtihani!
Umemjibu vizuri sana ingawa kifupi, maana ungelimsomesha tena kuwa '1' kwenye mita inawakilisha unit 1 ama lita 1000.
Kila mkoa wana bei zao, aende huko 'shiuwasa' akaulize bei ya unit moja ni sh.ngapi ndiyo azidishe na alichokichabo kwenye mita yake.