Naomba KAZI yoyote

Naomba KAZI yoyote

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Nina miaka 25
Elimu ni shahada ya maendeleo ya jamiii.
Mahali ni Dar es salaam
Naombeni KAZI yoyote ndugu zangu.

Ya kutumia nguvu akili nk
Ila isiwe kazi haramu hata kama ni haramu niambie niangalie risk zake kwanza.

Ahsante sana
 
Nina miaka 25
Elimu ni shahada ya maendeleo ya jamiii.
Mahali ni Dar es salaam
Naombeni KAZI yoyote ndugu zangu.

Ya kutumia nguvu akili nk
Ila isiwe kazi haramu hata kama ni haramu niambie niangalie risk zake kwanza.

Ahsante sana
kazi ipo kama utaweza .vigezo uwe na nguvu, smartphone na muda mwingi uwe unashinda mitandaoni ukifuatilia wanaoisema vibaya serikali...malipo kwa siku ni 7000.
 
Mkuu nahitaji KAZI yoyote
ISIPOKUWA KAZI AMBAZO ZINAENDA KINYUME NA SHERIA NA TARATIBU ZA NCHI YETU
kazi zinazoenda kinyume na sheria na taratibu za nchi yetu ndizo zina malipo mfano kuteka watu, kuwatembezea kipigo cha mbwa koko raia wanaoanzisha mada za uchochezi.kuwa informa
 
Back
Top Bottom